Mchepuko oyeee!

Mchepuko oyeee!

kwa sababu si muumizi mtu, napambana na khali yangu

Mumeo ndo unae Muumiza. Uzuri uovu haujawahi kubaki gizani. Ndo nyie badae wanaume tunalaumiwa kwamba bora tungeachana je mda wangu unaotumia kunidanganya. Piga Shaba tu pu...vu
 
Hii post ni ya 2019, Dada Dagaa bado unachepuka ? pia wanasema happy women do not cheat, so i guess kama bado unachepuka unapaswa ukae chini na kuyajenga na mumeo nahisi hutoona sababu ya kuchepuka tena. Kila mtu ata paint picha mbayajuu yako kutokana na the way ulivyoiandika post sema naamini kuna kitu kimekukuta kwenye ndoa yako ndio maana ukafikia maamuzi hayo na kujitoa ufahamu. Mungu akufanyie wepesi naakuvushe huko.
 
Mimi nahisi umwambie mumeo kuwa amebadilika hakukuni kama zamani,lol, unless alikua hakukuni tangia zamani,lol...

Ila hizi ndoa hizi, yaani hapo huyo mchepuko wako ukute nae hajitumi kwa mkewe....na wewe mumeo 'anajituma' sana mahali.......khaa..
 
Mumeo ndo unae Muumiza. Uzuri uovu haujawahi kubaki gizani. Ndo nyie badae wanaume tunalaumiwa kwamba bora tungeachana je mda wangu unaotumia kunidanganya. Piga Shaba tu pu...vu
yaani hii Post naona wanaume mapovu yanawatoka ila angekuwa kidume kapost ingekuwa balaa.. acha muumizwe tu maana na nyie mnawaumiza wake zenu vya kutosha
 

1 Kor 6:9 SUV​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti
hivi kuna tofauti gani Kati ya uzinzi na uasherati
 
hivi kuna tofauti gani Kati ya uzinzi na uasherati
@dagaa ni mzinzi coz kaolewa, mtu yoyote aliyeoa/kuolewa akitoka nje ya ndoa yake amezini.

Uasherati ni kama wewe hapo upendane na jamaa ambaye nae hana ndoa, halafu mfanye tendo la ndoa..hapo mmefanya uasherati...
 
Huu uzi ulitoa wanaume povu la kwenda, ila reality ameizungumza bwana/bibi dagaa, wengi ndoa zishawashinda..ni mwendo wa kuzini tu. Wake zetu wanaliwa, waume za watu wanakula vya nje sio poa.
 

Mathayo 6:24 BHN​

“Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine.
 
Habari wanajamvi,

Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.

Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.

Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.

Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.

Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.

Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.

Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.

Karibuni.

Na mmeo nae yupo na mchepuko mwisho mnachepukana
 
Tukubali tukatae hayo ndo maisha halisi tulokuwa nayo ktk familia/ndoa zetu...
Huyu ana nyumba ndogo...
Huyu ana mchepuko..... Ngoma droo..😂🤣🤣
 
Habari wanajamvi,

Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.

Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.

Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.

Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.

Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.

Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.

Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.

Karibuni.
Sasa mmejua kwa nini shetani alivyofika bustanini alianza kwa mwanamke na si kwa mwanaume (Adam)? Alifikia kwa ndugu yake!
 
Habari wanajamvi,

Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.

Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.

Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.

Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.

Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.

Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.

Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.

Karibuni.
We kweli dagaa😀
 
Back
Top Bottom