Mchepuko oyeee!

Sasa mzee umesema mwenyewe wameumbwa kwa ajili ya ngono sasa povu la nini tena wakati mwanamke anatimiza wajibu wake? 🀣🀣🀣🀣 Wee u atakiwa uombe nawe upewe
 
R I P SAID. hivi bastola ya Said ilipatikana nayo kweli? Na itarithiwa na upande wa mke au mume?
 
Kwa hiyo na wewe mume wako haumpi mashamsham unampa huyo mchepuko wako, na mume wako nae anatoa mashamsham kwa mchepuko wake.

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 
heshima muhimu, na kwataarifa yako hata kunihisi hawezi hata simu nimoe siku nzima hana atakachopata.
Kuna vitu vingine vinaangaliwa kwa mwanamke anaye cheat sio simu peke yake.

Unajua kukinai tendo na mume wewe?

Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
 

1 Kor 6:9 SUV​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti
 
je kabla hapo huyo mumeo alikuwa hakuridhishi?
shida siku hz watu wakishaingia katika ndoa hujifanya style flanflan hawazitaki xo hii nayo inapelekea kupunguza munkari wa tendo.
kasi ya upendo na style na mapenzi mliokuwa nayo wakati wa uchumba ndio hio hiyo mnatakiwa muishi nayo katika ndoa mpk mnakufa. hutokuja kutafta mchepuko.
pia ukijiangalia ww kuna vitu unampa hawara ambavyo humpi mumeo
 
Haya mambo ya mitandaoni bana unaweza kudhani mleta mada ni demu kweli kumbe ni dume la mbegu linachezeya akili za watu
 
Nshaona kuna wanaume wememtamani dagaa na wanataka awe mchepuko wao πŸ˜„
 
Kuna wakati kuwa mjanja ndio huwa Ujinga wenyewe....

Mleta uzi unaendeleaje na Mchepuko..??? hakika kupiga risasi 7 mwanamke kama huyu ni sawa tu na kumfuta vumbi....Hazitoshi
 
Dawa yako inachemka mbwa mzinifu weee.....
..yaani unajisifia kwa uasherati .??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…