ah ah ah ah!..wewe hujuwi hilo?!! ngoja nikupe mfano hai, alifika kijana mmoja mtaani kwetu, mwajiriwa a wizara ya mambo ya ndani nafasi yake ya juu tu hivyo yuko vizuri, tukamkaribisha mtaani akawa akawa rafiki yangu wa karibu sana, siku moja ananipigia simu bana njoo sehem flani tuanzishe mojamoja leo weekend..mimi hayaa, tena niko hapa jirani tu, nilivoingia mtu niliyemkuta amekaa naye aliponiona tu alishtuka sana, ni kadada kamoja kanafahamika vyema kwa biashara ya kukodisha mwili, nikachuna tu nikatambulishwa pale tukaendeleza kikao, kesho yake jamaa nikamuuliza unamjua huyo dada, jamaa akasema "yeah, ni ticha mwajiriwa mpya hapo shule ya ***, ni kabinti decent sana naona nitatulia niowe sasa, mimi..."what"?!! huko ndiyo kuchezewa! Mwingine unakuta mke wa mtu anakulaghai tu, anakuchuna!
Dilema nawakati ameshafanya uamzi wa upande wa pili? Anyway mi kwangu suala la roho ya ubinadamu au sijui nini hiyo ni too probable,hata kulea mtoto ni ubinadamu pia kuliko kukosa furaha. Afu hapa mi sioni ugumu kwa maana anae amua ni mkaka ndo maana nikasema ni suala la kusimamia maamuzi baasi,kama angekuwa haja amua ningekuunga mkono.
ndio matatizo ya wavulana, hawana maamuzi magumu...swali zuri sana..
kama aliweka bayana kwamba yy ana gal wake af mchepuko akakubali basi anaweza endelea na taratibu zake.. otherwise na yy jamaa ni mpuuzi sana na akome kwa yanayomkuta.. haya ndiyo hufanyaga watu kuuwana kisa mapenzi... kuweni bayana wanaume.. sema openly kwa dem unataka nn na yy... kwani huyo dem ana roho ya chuma hasikii wivu umdanganye ol tht time af unakuja unajisemesha et naoa mpenzi wang nampenda..nyooo! tena uku unakula bila ndom...
Kuna wengine wananogewa....anakataa katakata kukuacha..as long as hujaolewa anasema kitaeleweka tu...lol...
mkuu umeongea kwa
hisia sana. m20 ni fidia au vipi? me naona solution ni kama walivyosema
wakuu, kuhududumia hiyo mimba na mtoto atakayezaliwa hata kama
hatomuoa(kama.mchepuko atakubali)
mkuu, dini yake hairuhusu kuoa wake wengi na anadai hana mapenzi na mchepuko(alikuwa wa kuzugia)
Koh! Koh! Koh! Koh!
Hata mm pia nisingekubali, maana inonyesha huyo mwanaume hakumwambia ukweli kuwa wewe ni wakuzugia na msichana wa watu akujua keshapata mume, mwisho ndiyo anamwambia kuwa anataka kuoa. hapo nginja nginja mpk baharini.!!!!Hata mimi nisingekubali.
Hapa ndo huwa nashindwa kuwaelewa wanaume...kumfanya mtu wa kuzugia duh...mchepuko na ukomae kabisa
Wa kuzugia angefuata malaya barabarani ! ndio tatizo letu wanaume ,ni hatari kuanzisha mahusiano na mdada anaye tafuta mume.Ni heri umwambie mapema kuwa naomba tuburudhane ! Hapo ni pagumu ,Kuna watu wameo watu ambao walikuwa wanazugana tu
Mkitandikwa mboo vizuri huwa hamuelewi somo nyie ,mtang'ang'ania tu hata kama kitu hakikuwepo kwenye makubaliano ya awali.Hata mm pia nisingekubali, maana inonyesha huyo mwanaume hakumwambia ukweli kuwa wewe ni wakuzugia na msichana wa watu akujua keshapata mume, mwisho ndiyo anamwambia kuwa anataka kuoa. hapo nginja nginja mpk baharini.!!!!
kama nakuwa huyo kaka nammaliza kwanza huyo mchepuko akafie mbele asilete kiwingu aseeee