Ndio maana nikakwambiaje mfuate ukamuulizeBunge la uchakachuzi hilihili mkuu? Unaliamini? Nauliza wadau maana historia na background zinafichwa kwa maslahi ya watu, kumbuka account ya ponjoro la K'ndoni ilivyofanyiwa mandingo baada ya kutofautiana na Gwajiboy, majuzi tu hapa!
Okay nafikiri umesomeka mkuu vizuri .Yani ni kwamba nawauliza wanaomfahamu, kwa sababu information zilizopo kwenye public domain haziaminiki, lakini kuna watu humu waliosoma naye, wana na waliofanya naye kazi, waliokua naye pamoja.. Hawa wanajua ukweli mwingi kuliko maandishi ya masisiemu yaliyopo public
Yani ni kwamba nawauliza wanaomfahamu, kwa sababu information zilizopo kwenye public domain haziaminiki, lakini kuna watu humu waliosoma naye, wana na waliofanya naye kazi, waliokua naye pamoja.. Hawa wanajua ukweli mwingi kuliko maandishi ya masisiemu yaliyopo public. Then hii ni forum tu mkuu sio academic work, so tunaulizana tu casually hamna cha mtiririko wala nini, as long as swali limeeleweka unatiririka tu, sio big deal
Viongozi namba 4 ni nani ?Wasanii na viongozi ambao yule Mama pale Botswana akitoka wataganga njaa sana:
1. Wema pelepete
2. Steven Minenguo
3. Mrisho Pekupeku (Mzua taharuki)
4. Mwizi-jakuzi
5. Baba Tambarale (Chawa Mkuu)
6. Shasha, sheshe, Shishi vyakula milenda
7......
Viongozi:
1. Jimbo la Kule kura zilizojazwa za wizi zimekamatwa juzi
2. Huyu wa mada husika
3. Jina la wale wakusanya nauli ndani ya daladala
4. Yule aliesema tunywe miti shamba kuzuia korona, kisha akasema tuache tuchanje
5.....
Endeeleni kumbuka name calling (kutaja jina la mtu hairuhusiwi)
Michezo na Burudani plus Habari Bodi ya Ithibati wanahabari wawe na Diploma sio kadi za kitchen party wanatuletea MaMc kwenye radio?Viongozi namba 4 ni nani ?
Kauli zake ni za kutisha sana. Alienda Mbeya akatema cheche, Mdude akatekwa na kupotea baada ya wiki tu.Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Wanu ni nani? Juzi alitrend kwenye kikao cha chama chao Kizimkazi alikuwa ameketi meza kuu.Mchengerwa
Ni MP wa rufiji
Amemuoa mtoto wa Mama Samia anaitwa Wanu Hafidhi .
Kwahiyo ipo hivi mke wake ni mbunge , mkwe wake rahis hivyo yaani.
Mtoto wa SamiaWanu ni nani? Juzi alitrend kwenye kikao cha chama chao Kizimkazi alikuwa ameketi meza kuu.
'Normal guy' anaweza fokea wakuu wa mikoa?Huyo ni mkwe wa President Samia nafikiri hiyo fursa ndo imempaisha zaidi but is normal guy with no Any ambition.
'Normal guy' anaweza fokea wakuu wa mikoa?
Yes ukiwa normal guy with no Ambition .'Normal guy' anaweza fokea wakuu wa mikoa?
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
100%Ana uwezo wa kifalme mabegani mwake na alama ya ukomunisti usoni, wanasema ukimuona kobe juu ya mti ujue kapandishwa! So normal inaweza kugeuzwa kuwa extraordinary kwa maslahi ya mpandishaji
Mchengwa au boss wake .Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-
Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ndiyo chanzo cha No Reforms No Elections
VIDEO: @TunduALissu , na ukosefu wa haki katika uendeshaji wa siasa. https://x.com/Jambotv_/status/1913827455850119224?t=JWa3mF0HEhHnqIvfLSZ0Jg&s=0 Hao ni RC kupitia Askofu Pissa, President wa TEC kwenye ibada ya Lindi Hiyo ni KKKT -Morogoro Vuguvugu la No Reforms No Elections ndilo...www.jamiiforums.com
Elimu ya kuunga unga,kasoma sijui out hukoWasifu wake nje ya nasaba yake mkuu tufahamu, ni haki yetu kuwajua tunaowatunza kwa kodi zetu
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-
Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ndiyo chanzo cha No Reforms No Elections
VIDEO: @TunduALissu , na ukosefu wa haki katika uendeshaji wa siasa. https://x.com/Jambotv_/status/1913827455850119224?t=JWa3mF0HEhHnqIvfLSZ0Jg&s=0 Hao ni RC kupitia Askofu Pissa, President wa TEC kwenye ibada ya Lindi Hiyo ni KKKT -Morogoro Vuguvugu la No Reforms No Elections ndilo...www.jamiiforums.com
Hivi Wenje bado ni mwana chadema ?Wanasema ni shemeji yake na ABDUL Abdul aliyeenda na bulugutu la pesa kwa Lissu yani iko kama nilivyoonza