GE2025 Mchengerwa aomba Rufiji ipande hadhi kuwa Mkoa, ili kurahisisha huduma kwa wananchi

GE2025 Mchengerwa aomba Rufiji ipande hadhi kuwa Mkoa, ili kurahisisha huduma kwa wananchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mgombea ubunge wa Rufiji wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Mchengerwa amewasilisha maombi ya wananchi wa jimbo hilo kwa mgombea mwenza wa urais wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi la Rufiji kuwa mkoa ili kurahisisha huduma.

Mchengerwa ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) amewasilisha maombi hayo leo Alhamisi, Oktoba 9, 2025 katika mkutano wa kampeni wa Dk Nchimbi uliofanyika Uwanja wa Soko la Tasaf, Nyamwage, Jimbo la Rufiji.

 
Wilaya za Mkoa wa Rufiji

1. Rufiji

2. Kibiti

3. Mkuranga

4. Kisarawe

5. Mafia

Ingependeza sana

Mkoa wa Pwani ubaki na

Kibaha igawanywe ziwe wilaya 2

1. Kibaha Mjini

2. Kibaha Vijijini

3. Chalinze

4. Bagamoyo
 
Back
Top Bottom