Habari zenu wakuu, kumekuwa na uvumi wa mchele feki au mchele wa plastiki. Na moja ya njia iliyosambaa ya kugundua mchele huo ni kuudundisha. Sasa leo na mimi nkasema wacha nijaribu kudundisha wali wangu... Heh! Si ukadunda, halafu mchele wenyewe nlkuwa nimenunua super market maarufu hapa mjini. Nikaingiwa na wasiwasi, nikasema ngoja nifanye research yangu online kama kawaida yangu, coz huwa sipelekeshwi na rumors.
Kutokana na research yangu, nimegundua kuwa uvumi huu upo karibu kwenye developing countries zote duniani. Na hakuna hata nchi iliyoprove ni kweli kuna mchele feki.
Nikazama mpaka youtube nikakutana na engineer kutoka India anatolea ufafanuzi mzuri sana, kwa sababu na wao hii rumor imesambaa sana. Akatengeneza mchele wa plastic na akaenda shambani kununua mchele original.
Akagundua kwamba.
1. Mchele original unadunda pia
2. Mchele feki haushikamani wala haufinyangwi
Link ya video:
Sisemi kama hakuna mchele feki, nachosema tujaribu kupata mchele wa mashambani na dukani na tuangalie kama inadunda au la! ili tuwe na uhakika zaidi kwasababu hata jamaa anasema tunaamini sana hizi rumors kwa sababu tulikuwa hatujui kama mchele wa kawaida nao unadunda pia.
Mimi hapa mama watoto bado haamini, hataki kabsa kula wali.
Kutokana na research yangu, nimegundua kuwa uvumi huu upo karibu kwenye developing countries zote duniani. Na hakuna hata nchi iliyoprove ni kweli kuna mchele feki.
Nikazama mpaka youtube nikakutana na engineer kutoka India anatolea ufafanuzi mzuri sana, kwa sababu na wao hii rumor imesambaa sana. Akatengeneza mchele wa plastic na akaenda shambani kununua mchele original.
Akagundua kwamba.
1. Mchele original unadunda pia
2. Mchele feki haushikamani wala haufinyangwi
Link ya video:
Sisemi kama hakuna mchele feki, nachosema tujaribu kupata mchele wa mashambani na dukani na tuangalie kama inadunda au la! ili tuwe na uhakika zaidi kwasababu hata jamaa anasema tunaamini sana hizi rumors kwa sababu tulikuwa hatujui kama mchele wa kawaida nao unadunda pia.
Mimi hapa mama watoto bado haamini, hataki kabsa kula wali.