Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 71
- 195
Mchekeshaji maarufu nchini Kenya Eric Omondi amekamatwa dakika chache zilizopita kwa kosa la kusambaza 'maudhui chafu' kwenye mitandao ya kijamii.
Eric, ambaye awali, alikuwa amepewa onyo kali na Bodi ya kudhibiti filamu nchini Kenya KFCB anadaiwa kueneza tabia zisizo za kimaadili kupitia filamu inayojulikana kama 'Wife Material'
Eric anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho.
Eric, ambaye awali, alikuwa amepewa onyo kali na Bodi ya kudhibiti filamu nchini Kenya KFCB anadaiwa kueneza tabia zisizo za kimaadili kupitia filamu inayojulikana kama 'Wife Material'
Eric anatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho.