Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Kuna jambo moja la msingi ambalo tunashindwa kulielewa...,
Moja hili shirika priority inafaa kuwa service oriented na sio profit oriented (tena linafaa kuwasaidia wananchi wasiojiweza kupata makazi) hayo ya kuwalenga wenye fedha na kupata kipato na faida iwe ni nyongeza na sio core objective..
Huyu bwana angekuwa NSSF au PPF au Pension Funds yoyote ambayo jukumu ni kuzalisha pesa za wateja wake ningemuelewa, ila sio kubadilisha shirika ambalo kuundwa kwake mwanzo kulikuwa kutoa msaada, hata kama alilikuta linajifia ila lilikuwa lina asset za kutosha.., sasa kutumia hizo asset ili kutengeza faida na kuwanufaisha wenye nazo halikuwa wazo la hii kampuni wakati inaanzishwa..
Kwa Dar Sehemu ambapo nyumba hazitoshi wanashindwa vipi kutengeneza ma-flats ya kutosha kupunguza demand ya nyumba hence kupelekea hata wenye nyumba binafsi kushusha bei ?
Mkuu kula 5