Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Hili ni jipu linasubiri kutumbuliwa, sanaa tupu, ye asubiri
Amesema analipwa ngapi?
NHC unaiona kwa nje tu. huijui na hutokaa uijue milele yote!Hata akilipwa 40 mill sio mbaya jamaa kapiga kazi sana amelifanya NHC isimame na kuwa bora kuliko miaka 10 iliyopita jamaa ni jembe
Swali kwa NHC:1. Wazawa hatustahili kuishi Upanga,Ada estates?
2. Ni kwanini eneo lote la kawe wapewe wao wakati kawe ingine inakaa slums kwanini isipimwe viwanja vikauzwa kwa watu
3. Mikataba wanayoingi kama Eco village kibada kigamboni ni kwa ajili ya wageni ma expert wanyekipato cha juu au wazawa
4. Kwanini hakuna sera mahsusi ya kuchanganya racial katika nyumba zilizopo katikati ya miji na wanakaa watu wa rangi fulani tuu haswa wahindi,waarabu etc
Hata akilipwa 40 mill sio mbaya jamaa kapiga kazi sana amelifanya NHC isimame na kuwa bora kuliko miaka 10 iliyopita jamaa ni jembe
Kwanini wasitoe financial statement kwanza kila mtu aone afya ya shirika na waamue; madeni kila mtu anajuwa wanayo na sasa hao hao wapangaji anaodai awana faida ndio wamewageuza cash cows wa kufidia madeni yao na kodi za kushtukiza tena zisizozingatia ongezeko la mishahara ilhali mambo yangekuwa tofauti sana kama wangekuwa wamewajengea watu wa chini.
Common sense tu kama 70% ya miradi ni kwa sababu ya kuuza na nyumba zimeuzika karibu zote hizo faida azikizi kulipa madeni au kuyapunguza kwa kiasi kikubwa sasa iweje wadeni watake government guarantee na shirika bado lidai lina madeni sie wengine could not care less on what NHC does kama serikari inaona jamaa anafaida lakini habari za kuwageuza wapangaji n'gombe wa maziwa na kodi za ajabu ajabu kila wakati sio sahihi kabisa hakuna mtu alitegemea sehemu wanazoishi zitapanda thamani kwa sababu ya uzembe wa serikari kuwekeza kutanua jiji sehemu zingine leo mnazoziita prime areas miaka hiyo (kabla amjaja mjini na mbio za mwenge) zilikuwa ni makazi ya watu mchanganyiko upanga ilikuwa imejaa nyumba za walimu na wafanyakazi wa wakaida tu serikarini leo imekuwa sehemu ya matajiri whose fault is that wapangaji au serikari. Leo anakuja mtu kama huyu anataka kuongeza kodi kila uchao hivyo ndio serikari inavyofanya kazi kweli kwenye mashirika ya umma si ndio unyanyasaji wenyewe wa wapangaji huo kisa kufidia madeni huku kuchosha raia bila ya mpango.
Huyu jamaa mpaka dakika hizi anakazi ni Tanzania tu the concept of government public company aipo ata ukisoma nakala shughuli yao ni kuwaweka watanzania wa chini mjengoni na sii kufanya miradi ya mahoteli sijui kutuambia wanajenga majumba ambayo sisi wengine ayatuhusu.