Mimi si muasherati tena ni mtulivu kuliko maelezo na ukiniona lazima utaapretiate. Tatizo nikimpata nimpendae siku tukijamiiana tu kwisha habari natulia tena hata miezi kadhaa lakini nikimpata mwingine nikasema nijitahidi nisimwache ghafla kama kunakitu kinaazha kichwani nakujaa moyo matokeo fyuuuu!