Nasikia alipigiwa simu na Zitto ili achange.
Majimbo ya Nyamagana, Arusha mjini, Kawe na kule kwa Lissu yanatafutwa na CCM kwa udi na uvumba. Kianzio.... timu ya mukama na Nape walianza heka heka zao za mikutano ya wazi Singida. Huu ni mpango wa kumwaga 'sumu' kwa Lissu maana wanataka kumtoa bungeni at any cost!.
Walio karibu na Wenje, Lissu, Halima Mdee na Lema wajitahidi sana kuziba mapungufu mara yanapotekea (kama yapo). Moja ya mbinu wanayotumia hasa kwa Lissu ni kuwahadaa wananchi kuwa mbunge wao anawatelekeza maana haonekani jimboni mara mara. Tadhali chadema pamoja na kazi kubwa mnayofanya ya kueneza elimu ya uraia msisahau kutembelea majimbo yenu ya uchaguzi mara kwa mara.