Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Heshima kwenu
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe bwana Mrisho Gambo amewatangazia wananchi wa Korogwe kuchangia gharama za mwenge kama ifuatavyo
Je, Mchango wa Mwenge ni lazima?
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe bwana Mrisho Gambo amewatangazia wananchi wa Korogwe kuchangia gharama za mwenge kama ifuatavyo
- Wafanya biashara sh. 5,000.00
- mwananchi wa kawaida sh. 1,000.00
Je, Mchango wa Mwenge ni lazima?