Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
WanaJF naomba tuweke tofauti pembeni
Mimi professional yangu ni kutoa huduma ya afya kwa jamii
hiki kitendo cha serikali kufanya unyama kwa mwantahaluma mwanzangu
kimeniuma sana na sasahivi anapata mateso sana
MImi kama raia bila kusukumwa na mtu nitamchangia Dr. Ulimboka Tsh 50000
kwa ajili ya kusadia matibabu yake.
Naomba wanaJF wenye moyo ulioguswa na haya mateso atoe kwa moyo tusadia Dr Uli....
Naomba @Max Melo au admin wa JF aweke Namba yake hapa ya Mpesa nitatuma mchango wangu kesho
Narudia tena huu ni uhuni na unyama katika nchi yetu
MIMi naanza wewe je?
1. Dr Kupeng'e.......Tsh50,000
2........................................
3........................................
4,.........................................
Mimi professional yangu ni kutoa huduma ya afya kwa jamii
hiki kitendo cha serikali kufanya unyama kwa mwantahaluma mwanzangu
kimeniuma sana na sasahivi anapata mateso sana
MImi kama raia bila kusukumwa na mtu nitamchangia Dr. Ulimboka Tsh 50000
kwa ajili ya kusadia matibabu yake.
Naomba wanaJF wenye moyo ulioguswa na haya mateso atoe kwa moyo tusadia Dr Uli....
Naomba @Max Melo au admin wa JF aweke Namba yake hapa ya Mpesa nitatuma mchango wangu kesho
Narudia tena huu ni uhuni na unyama katika nchi yetu
MIMi naanza wewe je?
1. Dr Kupeng'e.......Tsh50,000
2........................................
3........................................
4,.........................................