Nashukuru hata wewe umeliona hilo, afu yupo nervous ndo maana sauti yake iko juu.imebidi nibadili chanel kwaajili yake. Yan kama vile yupo studio anaingiza voko! Cjajua jk alitumia kigezo gani kumteua! Anafaa zaid kwenye mipasho!( taarabu)
Mama yupi? weka thread yako wazi kwani wachangiaji wengi sio "organised", mie naona wanasimama na kutangaza maendeleo kwenye majimbo halafu wanaishia kuolodhesha msululu wa matatizo ambayo wanaomba serikali iwasaidie.Huyu mama nadhani aliwahi kuwa ni mwimba taarabu. Anaitwa nani? She is so disorganised!
Kama vile kakaririshwa akaongee nini.
Mkuu hata jina sitaki kumjua, ila ni mchangiaji mwanamama kutoka tabora. Ndo mchangiaji wa mwisho kabisa leo tarehe 16 June 2011Mama yupi? weka thread yako wazi kwani wachangiaji wengi sio "organised", mie naona wanasimama na kutangaza maendeleo kwenye majimbo halafu wanaishia kuolodhesha msululu wa matatizo ambayo wanaomba serikali iwasaidie.
Nashukuru hata wewe umeliona hilo, afu yupo nervous ndo maana sauti yake iko juu.
Kanifurahisha sana mkuu, namshauri akasome lending models tofauti tofauti jinsi zinavyo operate ndo aanze kulalamika. FINCA na TUNAKOPESHA LTD inatakiwa wamshtaki kwa kuwaharibia reputation yao kibiashara.Ukiangalia mwanzon alipotajwa ajiandae alimulikwa na kamera akitengeneza nyweli,akiweka staili ya rihanna. Tunapoelekea tusichague 'vikuku' tuweke kigezo cha elimu,ni muhimu sana. Anasema eti watu waanze kukopeshwa bila security kama hati ya nyumba na kadi ya gari. Anadhan wanaokopesha ni govt au? Hajui hata professional credit and lending. Kukimbia shule ni kama laana!
Kanifurahisha sana mkuu, namshauri akasome lending models tofauti tofauti jinsi zinavyo operate ndo aanze kulalamika. FINCA na TUNAKOPESHA LTD inatakiwa wamshtaki kwa kuwaharibia reputation yao kibiashara.
Ni wa kupewa huko Tabora . Mwimbaji wa mchiriku
Inasikitisha sana mkuu! Mtu anaanza kwa kuisifia gvt lakini mwishoni anamalizia kwa kusema wananchi wanakufa njaa. Anasahau kwamba gvt inatakiwa ifanye zaidi ya ilichokifanya hadi sasa.Hao ndio wachumba wa viongozi wetu,wanatetewa kwa gharama yoyote waingie bungeni lakini hawajui kujenga hoja,hawajui kujieleza wala kuichalange gvnt ilete maendeleo.mtu anasimama na kuisifia serikali kwa muda mrefu then mwishoni anaomba itatue matatizo jimboni kwake bila kuikosoa mipango ya serikali na anafahamu fika bajeti haiwezi kutatua hizo kero.je tutafika kweli kwa mipasho hiii?
eti anaitwa ....., Tambe Abdalah. Yaani hlo domo lake limekaa ki mipasho mipasho 2 cjui nini vle. Hana logic ya presentation hata kdogo. Aende akauze kitumbu-.- huko kwao Tabora. Eti anatamba Tabora hakuna mbunge wa upinzani. Kazi tunayo.!?
wasipoongea tunasema, wakiongea tunawacheka, sijui wafanyeje sasa.... huyo dada hapo ndio uwezo wake ndio umefikia mwisho kabisa
aisee....