Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,401
Mpuuzi mkubwa huyu"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Mpuuzi mkubwa huyu"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Maridhiano yanahusika nini na kesi ya uhaini? Heche ana mamlaka gani ya kumbakiza Lissu mahabusu? Kuna ajabu gani "ndugu" yake Lissu kumtaka atoke mahabusu? Mimi sitashangaa kama tukiambiwa kuwa ni dada wa kutafuta kama wale wakatoliki."Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Ukifikia mahali,wasemaji nguli wa chama na watetezi ni wa sampuli hii iko shida kubwa sana somewhere."Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Huyu sio mzima kichwani. Afya ya akili imeyumba"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Sisi waislam tunatakiwa muda mwingi kuutumia ktk kuwakumbusha watu ktk kheri na kuacha mabaya. Hilo ndio lengo la mwanadam kuja hapa duniani. Unaweza ukajikuta 99% ya maisha yako ya hapa duniani umetumia ktk kueneza propaganda"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Kweli kabisa, na hawa ndio masnitch wa mwanzo mwanzo ndani ya cdm. Ametumika sana na Mwigulu kuihujumu cdm yeye na wenzake, akiwemo Zito Kabwe. Hata sasa huwa anatumika kuishambulia cdm. Nahisi huyu ni mmoja wa mashahidi wa uongo kwenye kesi ya Lisu wanaofichwa.Alikua Chadema na aligombea ubunge pale Kibaha mjini 2010. Alihamia CCM akiwa na kina Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.
Hakuna dini imejaa wanafiki kama hiyo yenu. Sijutii kuachana na uisilamu. Kibaya zaidi wanaoongoza kwa unafiki ni wale wanaojifanya kujua hiyo dini. Mkianza kuongea jambo na kuweka kiirabu kisha kukisema kwa kiswahili mnajifanya watu rahimu kumbe upuuzi mtupu.Sisi waislam tunatakiwa muda mwingi kuutumia ktk kuwakumbusha watu ktk kheri na kuacha mabaya. Hilo ndio lengo la mwanadam kuja hapa duniani. Unaweza ukajikuta 99% ya maisha yako ya hapa duniani umetumia ktk kueneza propaganda
Chadema ya makengeza ilikua uozo mtupuBaada ya kusoma majina hayo, nimekaa dakika tano nzima nkijaribu kuwaza niandike nini juu ya watu/viongozi wa aina hii.
Nimeshindwa kabisa kupata maneno sahihi sahihi.
Nashindwa kabisa kujuwa kwa nini CHADEMA ilikuwa kama kiwanda cha kuzalisha watu wa aina hii?
Na bado hujawaweka akina Yericko na wengine wengi wa aina hiyo.
Na bado sina njia nzuri ya kuwazungumzia waTanzania wenzetu hawa kwa sasa.
Na huko ndani ya CCM je? Hali itakuwa vipi endapo polisi wakiwatelekeza na kupoteza madaraka?
Ni wangapi watakimbilia CHADEMA au chama kingine kikishika madaraka hayo?
Hivi ni halali kusema watu wote hawa ni wasaka fursa tu, au kuna sababu nyinginezo zinazosababisha watu kuwa malaya kiasi hiki?
Binafsi naanza kujenga nadharia kwamba ubovu huu una misingi yake; hasa ndani ya vyama vya siasa vyenyewe.
CCM imewalazimisha waTanzania kuwa malaya.!
"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Mkumbusheni ya Membe na Musiba na aombe sana Lisu hasitoke gerezani."Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Maridhiano ndiyo upuuzi gani? Kama kweli mnaamini yuko ndani kwa kosa la uhaini kwanini kesi isihukumiwe kimahaka? Kama mnataka maridhiano it proves that yuko ndani kwa sababu za kisiasa na si sababu ya kosa la uhaini."Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Ni mpambe binafsi katika siasa chafu za Mwigulu kwa miaka mingi. Hicho anachokiongea ndio msimamo halisi wa Mwigulu na genge lake.Kwani huyu jamaa ni nani hapa tanzania.naona anatoa sana matamko
Takataka"Sisi tunajua Lissu alifanya Makosa ndio maana Familia ya Lissu iko tayari kwa maridhiano lakini Heche anafanya kila namna kuzuia maridhiano hayo" Habibu Mchange
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana wewe ni kati ya wale form four mlioiba mitihaniAligeuza boksa,tahamaki maungo yakamsimama,hiyo ni dalili ya uhayawani
Unafiki katika Uislamu umepigwa vita sana.Hakuna dini imejaa wanafiki kama hiyo yenu. Sijutii kuachana na uisilamu. Kibaya zaidi wanaoongoza kwa unafiki ni wale wanaojifanya kujua hiyo dini. Mkianza kuongea jambo na kuweka kiirabu kisha kukisema kwa kiswahili mnajifanya watu rahimu kumbe upuuzi mtupu.