Al Watani JF-Expert Member Dec 28, 2014 20,538 30,601 Sep 11, 2023 #161 Evelyn Salt said: Yeah blenda inatakiwa kuwa vizuri, la sivyo hazisagiki Click to expand... Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ?
Evelyn Salt said: Yeah blenda inatakiwa kuwa vizuri, la sivyo hazisagiki Click to expand... Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ?
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,664 112,830 Sep 12, 2023 #162 Al Watani said: Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ? Click to expand... Mmhh hii sijui, sidhani kama utapata ile ladha ya kusavisaga pamoja.....kama hauwezi siku hizi sehemu za bar kuna wadada wanatengeneza fresh juice hiyo pia wanatengeneza
Al Watani said: Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ? Click to expand... Mmhh hii sijui, sidhani kama utapata ile ladha ya kusavisaga pamoja.....kama hauwezi siku hizi sehemu za bar kuna wadada wanatengeneza fresh juice hiyo pia wanatengeneza
Agnes Madaa Member Aug 29, 2023 93 169 Oct 5, 2023 #163 Tuleni juisi ya matunda View: https://youtu.be/ijYrg2JwzCc?si=typn600Un7RuLhV3
heartbeats JF-Expert Member Feb 10, 2014 5,771 8,718 Oct 5, 2023 #164 Tangawizi na ganda la watermelon +beet enjoy stamina
muhweza JF-Expert Member Feb 22, 2022 980 1,384 Nov 15, 2023 #166 Juice ya mapera na maziwa utalamba mpaka glasi