Mchanganuo wa Madiwani wilaya Mpya Dar

Mchanganuo wa Madiwani wilaya Mpya Dar

Hahaahahaah kumbe kuongeza wilaya ilikuwa mbinu ya uchakachuzi
Mkuu hiyo kwa dar ilianzia tangu kwenye kuanzisha majimbo ya ziada kama kibamba na mbagala nia ya ccm ilikuwa ni kuwachanganya wapimzani na kupiga bao,sasa angalia cdm walivyo wastukia kuhusu jimbo la ubungo na kibamba
 
Tamisemi wameongeza Wilaya mpya ya Ubungo na Kigamboni.Hivyo kulazimu uchaguzi wa mameya wa Kinondoni na Ubungo kurudiwa.

UKAWA tuko makini kupambana na hujuma na fitna zozote na CCM.Madiwani ni kama ifuatavyo,Kinondoni:

CHADEMA Madiwani 10 na wabunge 2,
CCM madiwani 10 + wabunge 0,
Wilaya mpya ya Ubungo:
CHADEMA Madiwani 11 + wabunge 2
CCM madiwani 2 + wabunge 0

Mtahamisha sana Magoli lakini tutawapiga tu hakuna jinsi
hivi huko CUF hawana hata diwani au mbunge? nilifikiri hata yule wa Kinondoni ni wa CUF! kumbe ni wa kadima! makubwa haya.
 
Mimi sijaelewa; hivi ndio kusema kila wilaya itakuwa na meya wake? Jamani hii sio kuongeza mzigo wa kiutawala? Wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mameya, n.k. na wote hao ni maV8 yet vieneo vyenyewe ni mwendo wa kutembea tu! Muhimu wangeongeza tu maeneo ya uwakilishi (ubunge/udewani) lakini sio maeneo ya kiutawala kwa eneo dogo kama hizo wilaya mpya zinazopendekezwa.

Na kwanini Mbeya na Dar?
 
Hawa watu wanajiona wameumbwa kutawala milele.
Waliligawa Jiji la Mwanza na kuunda Manispaa ya Ilemela kwa uroho wa kupata Umeya.
 
Tamisemi wameongeza Wilaya mpya ya Ubungo na Kigamboni.Hivyo kulazimu uchaguzi wa mameya wa Kinondoni na Ubungo kurudiwa.

UKAWA tuko makini kupambana na hujuma na fitna zozote na CCM.Madiwani ni kama ifuatavyo,Kinondoni:

CHADEMA Madiwani 10 na wabunge 2,
CCM madiwani 10 + wabunge 0,
Wilaya mpya ya Ubungo:
CHADEMA Madiwani 11 + wabunge 2
CCM madiwani 2 + wabunge 0

Mtahamisha sana Magoli lakini tutawapiga tu hakuna jinsi
Maana yake ni kuwa idadi ya Mameya wa UKAWA itaongezeka kutoka wawili na kuwa watatu kwa Dar es Salaam. Hongereni
 
Back
Top Bottom