kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Bonge la wazo
kwa jiji la Dar inawezekanaHakuna kitu kama hicho😎
Kama kawaida wazee wa kukosoa tuponhapa sio kwa nia mbaya ni kwaajili ya kujenga na kuangalia mambo kwa upana zaidi.Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,
Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.
Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.
Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=
Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=
Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.
Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k
So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-
Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)
kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.
150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)
Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=
Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.
155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)
Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)
4,400,000 Monthly Profit.
NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
View attachment 1764494
Yaani unanunua pikipiki kisa mayai? Kwa soko lipi? Jaribu kwanza hata tray 10 ukimaliza ndani ya siku leta mrejeshoNawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,
Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.
Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.
Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=
Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=
Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.
Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k
So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-
Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)
kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.
150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)
Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=
Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.
155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)
Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)
4,400,000 Monthly Profit.
NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
View attachment 1764494
Wazo la hii biashara ni zuri, linatekelezeka, mayai ni bidhaa inayohitajika na hutoka haraka. Ila mleta uzi amekuwa mno too optimistic, gharama haziwezi kuwa kidogo namna hiyo inabidi ajitahidi kukisia gharama kiuhalisia zaidi jambo litakalosababisha pia faida kuwa ni ya kawaida siyo kubwa kama alivyosema. Hii biashara ili ikupe faida kubwa inataka uuze kwa wingi(volume) kusudi faida ya kawaida utakayoipata iweze kukua upesi na kuonekana.Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,
Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.
Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.
Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=
Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=
Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.
Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k
So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-
Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)
kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.
150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)
Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=
Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.
155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)
Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)
4,400,000 Monthly Profit.
NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.
View attachment 1764494
Safi hiiUmewaza vizuri sanaa. Ila tafuta tu laki tatu. Ujiwekee kiwango cha kuuza tray kumi na tano kwa siku mwenyewe ukishaweza hilo, uje kuupdate uzi mkuu