Mchanganuo wa biashara ya kuingiza faida ya 150,000/= kwa siku/ 4,400,000 kwa mwezi

Huo ni mchanganuo Wa biashara Ya kuuza mayai Kwa trei sio ya kuchemsha. Tunawauzia wachoma chips, bakery, maduka na mahoteli na sehemu Kote ambako mayai yanatumika
KAMA HUJAELEWA NILICHOMAANISHA, SIJAKATAA ILA KWA KUWA KULIKUWA NA HITIMISHO LA MAONI NA HAYO NDO MAONI YANGU.
 
Hiyo biashara iko risky sana kumbuka mayaye hupasuka kuna mambovu, pia vijana wa siku hizi huwezi kulipa 1000 azunguke siku nzima.
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.

View attachment 1764494
It always seems impossible until it's done.
 
Mnao criticize mtoe na sababu. Sio mnasema ujinga, Mara motovational speaker, Jenga hoja ya msingi na Yenye mashiko
Hujaweka bei ya ununuzi, gharama ya mayai kusafirishwa kutoka kwa mfugaji na kwenda kwa mteja, gharama ya utunzaji store endapo lengo la siku halijafikia, hujaweka mfumuko wa bei pale unapopanda wateja hupungua
 
Umewaza vizuri sanaa... Ila tafuta tu laki tatu... Ujiwekee kiwango cha kuuza tray kumi na tano kwa siku mwenyewe ukishaweza hilo, uje kuupdate uzi mkuu
Huyu Bwana yuko na wazo zuri ila anahitaji kulifanyia refining aongeze innovation zaidi na kisha aweke swaga kidogo then anaweza kutengeneza Milioni zaidi ya hizo kwa mtaji mdogo zaidi ya huo.Focus yake iko kwenye inventory kumbe hana haja ya kuwa na inventory anahitaji kuwa na reliable suppliers na mfumo mzuri wa malipo na uuzaji.
 
Wazo lako linaweza kutoka kuwa kilimo cha makaratasi na kutengeneza Handsome Money ukifanya mambo kadhaa.

Kabla ya yote uende kuwatongoza wateja mwenyewe kipi cha tofauti utawapa ili wahamie kwako...ukishawishi vizuri maeneo haya you will be Regent of Street
1)Kupunguza bei kila Tray
2)Delivering (kuwapunguzia usumbufu)

Ukitengeneza Permanent Clients kadhaa utachobakia kufanya ni kufyatua watoto tu.
 
Mtu kama hujawai kufanya biashara ni lazima uwe na picha ya faida kubwa kubwa kichwani, ila ukiingia kwenye biashara ndio utajua hayo mawazo yalikua potofu, bahati mbaya wengi wanaamini ukishamiliki biashara basi kila siku ni faida, Ukitaka kupanda ngazi sharti uanze kukanyaga ngazi za chini, vinginevyo utapasuka msamba.
Kweli kabisa maana akili ya darasani sio akili ya mtaani
 
Mtu kama hujawai kufanya biashara ni lazima uwe na picha ya faida kubwa kubwa kichwani, ila ukiingia kwenye biashara ndio utajua hayo mawazo yalikua potofu, bahati mbaya wengi wanaamini ukishamiliki biashara basi kila siku ni faida, Ukitaka kupanda ngazi sharti uanze kukanyaga ngazi za chini, vinginevyo utapasuka msamba.
Kweli kabisa maana akili ya darasani sio akili ya mtaani
 
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Jamhuri ya Tanzania,

Nimekua nikifatilia threads mbalimbali za biashara humu, Wengi naona wanasema ili kuingiza faida kubwa Kwa siku basi ni lazima Uwe na Mtaji Mkubwa, wengine walitoa mifano ya Anaemiliki duka la hardware ana mtaji nkubwa lakini hafikishi faida kadhaa.

Leo napenda Kutolea Mifano ya biashara ya kusambaza mayai ya Kisasa kwa wateja/watumiaji tega sikio Vyema.

Biashara Yoyote ya Kumtafuta mteja ukamuhudumia inakua na mzunguko mkubwa, So tukianza na biashara ya Kusambaza Mayai, apa utatakiwa kuwa na mtaji wa Millioni 6 (6,000,000). Hapa utatakiwa kununua Pikipiki used kwa Dar ziko nyingi, hakikisha tu unapata mali halali, Pikipiki hizi utazipata kwa Laki 8 kila moja (used) 800,000 x 3 = 2,400,000/=

Pesa kwaajili ya fremu yako ya biashara, Tafuta eneo lenye Mzunguko mkubwa wa watu, mfano karibu na soko au Stendi. Aoa kodi utalipa elf 80,000 kwa mwezi. Utalipia kodi ya miezi mitatu ambayo ni 80,000 x 3 = 240,000/=

Then tafuta meneja masoko wako na vijana wasambazaji. Wewe na meneja masoko wako mtahakikisha mnapata machimbo ya wafugaji ambapo mtapata mayai Kwa bei ya jumla yakutosha, hakikisha unakua na Machimbo hata matano Ya uhakika. Hapa tenga 3,500,000/= kama mtaji wa Mayai.

Kwa Upande wa Wasambazaji Utawawekea Limit kila mmoja auze angalau trei 45 na zaidi kila siku. Na isiwe chini ya hapo. Hapa
Utawafanyia training kuhusu marketing, jinsi ya kumuaproach mteja na Kumbuka lazima uwe unajua target market Yako. na utawapangia maeneo ya kila mmoja kutembembelea. Mfano target market yako itakua wauza chips, Bekari, mahoteli, wauza maduka, wapika vitumbua n.k

So baada ya kufanya yote haya kazi zitaanza:-

Pikipiki 3:- @auze trei 45 na zaidi kwa siku
45 x 3 = 135(Jumla ya trei zinazotakiwa Kuuzwa Kwa siku)

kila trei moja faida itachezea kwenye 1,000 - 1,200
Na kuna baadhi ya trei zitauzwa pale pale ofisini tuseme trei 15 tu ziuzwe ofisini.
Jumla zitakua trei 150 mauzo ya siku.

150 x 1,200 = 180,000/=(Hii ni faida ya siku moja baada Ya kuuza hizo idadi ya trei)

Matumizi tunakadilia kwenye mafuta, chalula ni kama 25,000 kwa siku. Tukitoa inabaki 155,000/=

Ambapo ofisini kwako utalipa wafanyakazi kwa siku 31 ambao ni mwezi mmoja.

155,000 x 31 = 4,805,000 (faida)

Hapa tukitoa Matumizi, mishahara pamoja na hasara. itabaki kama 4,400,000/=(Hela ya bosi)

4,400,000 Monthly Profit.

NAKARIBISHA MAWAZO NA KUKOSOLEWA KAMA NIMEKOSEA ASANTE.

View attachment 1764494
Hongera brother great Idea kaka
 
Back
Top Bottom