Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Kesho nenda mwanza mjini tafuta duka la cosmetics lolote then muombe mwenye duka akakutambulishe kwenye maduka ya jumla, pia muulize kuhusu bei na bidhaa zinazotoka kwa haraka, ukienda kichwa kichwa muuzaji wa jumla atataka apatie faida kubwa kwako, ukijua bei ya jumla na rejareja nunua mzigo, then baada ya hapo sasa.
Piga namba hii ya mama mmoja anaitwa Mama XXXXX yuko mwanza hapo hapo huwa anaagizwa hizo Cosmetics Uganda +25575574XXXXX. Tafadhali sana huyo mama ni mtu mzima kwa hiyo naoma uwe serious kweli.
 
Unatafutwa kutapeli wewe. Kuna watu wameshaanza kuinyemelea bila ya wewe kujua. Namba za simu unazopewa ndizo zitakazo kuumiza. Shauri yako
 
Kesho nenda mwanza mjini tafuta duka la cosmetics lolote then muombe mwenye duka akakutambulishe kwenye maduka ya jumla, pia muulize kuhusu bei na bidhaa zinazotoka kwa haraka, ukienda kichwa kichwa muuzaji wa jumla atataka apatie faida kubwa kwako, ukijua bei ya jumla na rejareja nunua mzigo, then baada ya hapo sasa.
Piga namba hii ya mama mmoja anaitwa Mama xxxxxx yuko mwanza hapo hapo huwa anaagizwa hizo Cosmetics Uganda 07xxxxxxxx. Tafadhali sana huyo mama ni mtu mzima kwa hiyo naoma uwe serious kweli.

Hii namba uliyomuwekea huyo mama umewasiliana naye? Au ni ya kwako mwenyewe isije ikawa ndio utapeli tunaoupigia kelele hapa JF kila siku.
Hii ni bila kuathiri ushauri wako wa misitari ya mwanzo ambao nauona ni mzuri mleta mada akiuzingatia lkn maswala ya namba aachane nayo.
 
Wajinga ndio waliwao. Akiingia choo cha kike tu kaliwa. Tegemeeni kushuhudia manyoya. Ushauri powa, namba za simu noma.
 
Hii namba uliyomuwekea huyo mama umewasiliana naye? Au ni ya kwako mwenyewe isije ikawa ndio utapeli tunaoupigia kelele hapa JF kila siku.
Hii ni bila kuathiri ushauri wako wa misitari ya mwanzo ambao nauona ni mzuri mleta mada akiuzingatia lkn maswala ya namba aachane nayo.

Afadhali umetumia lugha laini, ndugu zangu mleta mada ni mtu mzima na amewaelewa tena vizuri namba nimesha edit kama atakuwa anataka atani PM na kwa taarifa tu unaweza agiza mzigo ndio ukaja kulipa, huyo mama kwa kweli basi tu kama hamuhitaji hiyo namba mpotezeeni
 
Afadhali umetumia lugha laini, ndugu zangu mleta mada ni mtu mzima na amewaelewa tena vizuri namba nimesha edit kama atakuwa anataka atani PM na kwa taarifa tu unaweza agiza mzigo ndio ukaja kulipa, huyo mama kwa kweli basi tu kama hamuhitaji hiyo namba mpotezeeni

Asante sana ndugu mm siwezi kumattack mtu hapa JF ambaye hanijui wala simjui. Unaja nn kaka yaani watu sasa hivi ni matapeli sana ndio maana tukiona namba tunashituka lkn otherwise ushauri wako ni mzuri sana. Hlf jamaa kwa vile yuko Nyegezi anaweza akaenda Mwanza at a time bila pesa akamuona huyo mama then wakapanga busness.
 
Afadhali umetumia lugha laini, ndugu zangu mleta mada ni mtu mzima na amewaelewa tena vizuri namba nimesha edit kama atakuwa anataka atani PM na kwa taarifa tu unaweza agiza mzigo ndio ukaja kulipa, huyo mama kwa kweli basi tu kama hamuhitaji hiyo namba mpotezeeni

Ok, lkn namba bado inaonekana pale nilipokuquote ngoja niifute na mm
 
Kesho nenda mwanza mjini tafuta duka la cosmetics lolote then muombe mwenye duka akakutambulishe kwenye maduka ya jumla, pia muulize kuhusu bei na bidhaa zinazotoka kwa haraka, ukienda kichwa kichwa muuzaji wa jumla atataka apatie faida kubwa kwako, ukijua bei ya jumla na rejareja nunua mzigo, then baada ya hapo sasa.
Piga namba hii ya mama mmoja anaitwa Mama XXXXX yuko mwanza hapo hapo huwa anaagizwa hizo Cosmetics Uganda +25575574XXXXX. Tafadhali sana huyo mama ni mtu mzima kwa hiyo naoma uwe serious kweli.

mzee ni pm hiyo namba ya huyo mama pamoja na jina hapa barazani naona kama haio poa hivi
Thanks in advance
 
wadau naomba kujua ni wapi naweza kupeleka business plan kisha wakazinunua nina business plan ya kampuni na ya watu wenye biashara ndogondogo naombeni mawazo
 
Jamani wana jamvi wezangu naombeni mawazo yenu. Tuko vijana wawili tunataka kuanzisha kiji kiwanda cha kukamua mafuta ya alizet mkoani Dodoma. Tulipo fikia ni kwamba tunajua bei za machine ambazo zinaitajika pamoja na bei zake. je kuna mtu ana some experiance juu ya maswala haya ili tuweze kujuzana na tupate mwangaza.

Emmanuel Lukosi....kwanza napenda kukupongeza sana kwa mawazo mazuri uliyonayo...Mimi binafsi naweza sema kipaji cha ujasiliali lakini nimesoma course ya ujasiliamali pale business school dar es salaam, ila nina kipaji cha kuandika mchanganuo wa biashara na pia kukuelekeza uafanyeje katika biashara yako..Hivyo basi ningependa kwa yeyote ambaye angependa kufanya biashara yake ili mradi anaijua bidhaa yake, huyo moja kwa moja atakuwa tayari kuanza biashara (hapo ni endapo umeweka vitu vingine constant 'sijui maana yake kwa kiswahili'.
Sasa habari ya masoko, usindikaji utengenezaji wa brand, center ya business yako na mengine mengi waweza kukutana tukajadiliana then tukaona jinsi gani tunafanya...nina business plan nyingi tu baadhi ya hizo nimeandika mwenyewe nilishazifanyia kazi tatu tayari na zingine zipo tayari kufanyiwa kazi. waweza niPM Tukajadiliana vizuri.
 
emmanuel lukosi....kwanza napenda kukupongeza sana kwa mawazo mazuri uliyonayo...mimi binafsi naweza sema kipaji cha ujasiliali lakini nimesoma course ya ujasiliamali pale business school dar es salaam, ila nina kipaji cha kuandika mchanganuo wa biashara na pia kukuelekeza uafanyeje katika biashara yako..hivyo basi ningependa kwa yeyote ambaye angependa kufanya biashara yake ili mradi anaijua bidhaa yake, huyo moja kwa moja atakuwa tayari kuanza biashara (hapo ni endapo umeweka vitu vingine constant 'sijui maana yake kwa kiswahili'.
Sasa habari ya masoko, usindikaji utengenezaji wa brand, center ya business yako na mengine mengi waweza kukutana tukajadiliana then tukaona jinsi gani tunafanya...nina business plan nyingi tu baadhi ya hizo nimeandika mwenyewe nilishazifanyia kazi tatu tayari na zingine zipo tayari kufanyiwa kazi. Waweza nipm tukajadiliana vizuri.


ebwana kuna watu wamezungumzia kuhusu utapeli hata mimi naogopa sana hali hiyo. Kama utaridhia tukaongea mimi napatikana kijitonyama nyuma ya jengo la tigo. Hicho nimesomea na ndiyo career yangu,nipo serius na nishafanya na watu kadhaa they are still doing their business. Mimi siuzi business nilizofanya chuo au zilizoandikwa na watu ila nakupa mwelekeo na mwongozo wa biashara namna ya kuanza, namna ya kutengeneza masoko n.k kwahiyo nipo serius.

Hauta jutia.

Kila la kheri
 
Kwanza mulipaswa kufanya market study ambayo ingewapa dira ya namna biashara ya ukamuaji mafuta inavyokwenda;
Ushauri
Kwa uelewa wangu mdogo hii biashara ina chamngamoto zake nyingi hasa kwenye upatikanaji wa alizeti kimisimu,hamjasema kama mtakuwa mnalima nyinyi au mnanunua alizeti kutoka kwa wakulima.
vitu vya kuzingatia unaponunua mshine ni aina ya mashine(mafuta au umeme),imetengenezwa wapi(mchina au mhindi),technical rating(horse power ya mota) na uwezo wa kufanya kazi yaani kuchakata alizeti kwa siku/wiki/mwezi nk.

Gharama:umeme,Vibarua(kusafisha alizeti,operator wa mashine,mlinzi wa ghala kama mtahifadhi alizeti nk),matengenezo(mara kwa mara au si mara kwa mara),kuchakaa kwa mashine(depreciation),gharama za kuweka alizeti kwenye ghala kama ni zenu binafsi na gharama za vifungashio(packaging material i.e junia/kiroba)

Katika ukamuaji kama alizeti ni za kununua kwa wakulima na sio zako,yakupasa ufahamu aya kutoka sokoni;Working capital(mtaji wa kufanyia kazi nje ya mtaji wa mashine),gharama za usafirishaji kutoka kwa wakulima,mfumo wa malipo kwa wakulima kama ni cash au mkopo,mfumo wa manunuzi(je wakulima wana vituo maalum vya mauzo uko vijijini au mpaka muwafuate uko mashambani kwao).
Pia mujue bei za mashudu na wateja ni akina na nani na wanachukua kiasi gani(je ni wa jumla au rejareja).
Nilishafanya mahojiano na wakamuaji mkoani Njombe wilaya wa Wanging'ombe kata ya Igwachanya na nikajifunza ivyo vitu vichache.
Hebu jaribuni kufanya Quick market scan katika maeneo hayo kabla hamjatumbukiza pesa yenu.Kwa maswali ni-PM
 
Samahani Wadau wangu wa JF,

Kusema kweli huu uzi niliusahau kama niliuanzisha maana ni muda sasa kama miaka mitatu.

Updates:

Mtaji wa kununua mashine na kuanzisha kiwanda ulitushinda hivyo nikaamua ku move on kivyangu.

Kwa sasa naleta mafuta kutoka singida na kuyapack kwenye galoni za lita tano na chupa za lita moja.

Nina tarajia kufungua kampuni yangu ambayo itakua ikishughulika na uuzaji wa Asali pia.

moja ya bidhaa zangu ni kama hizo hapo chini.


IMG_20140114_153119.jpg Kama kuna mwenye ujuzi wa kuifanya picha iwe kubwa anaweza akanisaidia

Pia napatikana kupitia 0713 338342

Karibuni sana
 
Kwa wale wote waliopo ndani na nje ya Tanzania wenye nia ya kuanzisha kampuni Tanzania lakini hawajui waanzie wapi GM Business Develepment Consult ltd watakupatia jibu

Kwa wale tayari wapo kwenye biashara lakini hawana mpango wa biashara(business Plan) na wala hawajui waanzie wapi GM Bus. Dev. Consult Ltd wanalo jibu.

Kwa wale wenye kuandaa mijadala, workshops, mikutano lakini wangependa kusaidiwa kuiandaa mijadala/workshops/Mikutano kutana nasi kwani tunaouzoefu wa kimataifa.

kwa huduma zetu mbali mbali na maelezo zaidi wasiliana nasi

Mkurugenzi
GM Business Development Consult Ltd
P.O.Box 62297 Dsm
simu 0715 737302 ama 0784 737302
barua pepe info@gmconsultz.com
tovuti www.gmconsultz.com

Mkuu vip mimi nina idea moja matata ambayo inaweza rise fund ya kutosha inafanana na Epic bongo star search na Tusker project flame lakini hii inawahusu watoto wa miaka 10-14 lakini tatizo ni kuianza project proposal ipo. Vp nyie huwa hamtoi ushauri wa kurise fund, kununua Idea au kupata sponsors?
 
habari wanajf,
Business plan inasaidia kukuongoza katika kuendesha biashara yako na kuweka malengo yako kama ulivyopanga,
Ndugu kama unahitaji plan yako kuhakikiwa, tafadhari unaweza kuwasiliana na mimi kwa 0713659828
Karibu sana
 
The website is sooooo good, thank you for sharing.

We acha tu. JF is everything. Kuna vitu flan vya muhimu sana nimejifunza kwa hii thread !! I wonder profit margin ya mshkaji ya kununua hayo mafuta ya alizeti kwa ujumla huko kiwandani, re-pack na kuuza reje reja inakua vipi ?? Ntafatilia na bei ya hzo mashine, au kama mtu ana ufaham atujuze. With enough knowledge naweza venture in this business.
 
Back
Top Bottom