Kazi na iendeleeUkinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!
Sasa nyumba yenye luku zaidi ya moja itakuwake?Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!
hahahaha wakijibu nitagiWale wa kununua umeme wa buku buku itakuaje sasa?????
ahsante sana.Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!
Hiyo na 4,nilijua nimewakimbia....duu nishakwama.Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!
We unadhani kwann watu wanamchukia huyu jamaa? Bunge limejaa vilaza wanao waza matumbo yao tu!Magu alifanya uhuni na kutuletea Bunge lililojaa wapuuzi wasiojali matakwa ya wananchi, na matokeo yake ndio haya. Haya sasa.
Ndiyo. Kwa mujibu wa TRA ni kwamba mtu mwenye jengo la kawaida anapaswa lipa kodi ya jengo ya shilingi 12,000/= kwa mwaka, na wale wenye maghorofa watalipa 60,000/= kwa mwaka bila kujali idadi ya sakafu/floors iwapo jengo litakuwa kwenye miji midogo.Hiyo elfu 1-5 inalipwa kwa kukatwa kidogo kidogo ama vp
Kuna majengo yana mita za luku zaidi ya tatu hapo inakuaje?Ndiyo. Kwa mujibu wa TRA ni kwamba mtu mwenye jengo la kawaida anapaswa lipa kodi ya jengo ya shilingi 12,000/= kwa mwaka, na wale wenye maghorofa watalipa 60,000/= kwa mwaka bila kujali idadi ya sakafu/floors iwapo jengo litakuwa kwenye miji midogo.
Sasa hii 1000/= kwa kila mwezi ndiyo italeta 12,000/= kwa mwaka na hii 5,000/= kwa mwezi ndiyo italeta 60,000/= kwa mwaka.
aje na kodi ya kitanda kwa kitanda sasaMama enu anaupiga mwingi kweri-kweri
Kwenye Kodi ya jengo, una maana gani kuweka 1,000 - 5,000?, Kwanini hujaweka asilimia?Ukinunua Umeme utalipia Kodi nne:
1. VAT - 18%
2. Ewura - 3%
3. REA - 1%
4. Kodi ya Jengo (Tsh 1000- Tsh 5000)
Awamu ya sita, tozo ziendelee!