Mchanganuo tozo za LUKU kuanzia August 20-2021

Hiyo elfu 1-5 inalipwa kwa kukatwa kidogo kidogo ama vp
Ndiyo. Kwa mujibu wa TRA ni kwamba mtu mwenye jengo la kawaida anapaswa lipa kodi ya jengo ya shilingi 12,000/= kwa mwaka, na wale wenye maghorofa watalipa 60,000/= kwa mwaka bila kujali idadi ya sakafu/floors iwapo jengo litakuwa kwenye miji midogo.

Sasa hii 1000/= kwa kila mwezi ndiyo italeta 12,000/= kwa mwaka na hii 5,000/= kwa mwezi ndiyo italeta 60,000/= kwa mwaka.
 
Ndiyo. Kwa mujibu wa TRA ni kwamba mtu mwenye jengo la kawaida anapaswa lipa kodi ya jengo ya shilingi 12,000/= kwa mwaka, na wale wenye maghorofa watalipa 60,000/= kwa mwaka bila kujali idadi ya sakafu/floors iwapo jengo litakuwa kwenye miji midogo.

Sasa hii 1000/= kwa kila mwezi ndiyo italeta 12,000/= kwa mwaka na hii 5,000/= kwa mwezi ndiyo italeta 60,000/= kwa mwaka.
Kuna majengo yana mita za luku zaidi ya tatu hapo inakuaje?
 
Back
Top Bottom