DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,348
- 83,301
Dini zimeanzishwa na binadamu hazina uhusiano na Mungu.Nina swali kidogo mkuu "Tunajua fika kuwa freemansonry ni wapinga kristo au uwepo wa Mungu kwanini waweke vigezo vya kwamba mwombaji awe muumini wa dini yoyote? Ina maana nini hatma yake baada ya maisha ya hapa duniani? They believe after life?
Kama ni hivyo na wao siwezi kuamini uwepo wa Mungu wao(shetani)Dini zimeanzishwa na binadamu hazina uhusiano na Mungu.
Kikundi cha kusosholaizi cha watu wenye mafanikio makubwa duniani katika tasnia zao na kusaidia kuboresha mambo mbalimbali duniani kadri iwezekanavyo.Lengo la freemasonry nini?
Mkuu wa hiki kikundi ni nani na makazi yake yako wapi?Kikundi cha kusosholaizi cha watu wenye mafanikio makubwa duniani katika tasnia zao na kusaidia kuboresha mambo mbalimbali duniani kadri iwezekanavyo.
Dini zimeanzishwa na nani?Dini zimeanzishwa na binadamu hazina uhusiano na Mungu.
Hiki kikundi kiko decentralized hakuna mkuu wake mmoja au viongozi wakuu, mfumo wake wa uongozi unakaribiana na wa Uislamu.Mkuu wa hiki kikundi ni nani na makazi yake yako wapi?
Mashetani tangu lini wakamuamini mungu?.wewe nenda tuWalianza kupokea atheists nitajiunga
ok.🐒Mchakato wa kujiunga na Freemasonry unafuata utaratibu rasmi na wa hiari, tofauti na dhana za mtaani kwamba watu hualikwa au kulazimishwa.
Hatua Kuu za Kuingizwa Uanachama:
- Ombi la Hiari ("Ask One to Be One"): Kanuni kuu ya Freemasonry ni kwamba hawamshawishi wala kumshawishi mtu kujiunga. Mtu anayetamani kuwa mwanachama anapaswa kumfuata mwanachama anayemfahamu na kuomba kujiunga mwenyewe.
- Vigezo vya Mwanzo: Mwombaji lazima awe mwanaume mzima (kawaida miaka 18 au 21 na kuendelea kulingana na eneo), mwenye tabia na sifa nzuri za kimaadili katika jamii, na anayeamini uwepo wa "Mungu" au "Kiumbe Mkuu" (G.A.O.T.U. - Great Architect of the Universe), bila kujali dini yake mahsusi.
- Uchunguzi (Investigation): Baada ya kuwasilisha fomu ya maombi, kamati ndogo ya Freemasons hukutana na mwombaji pamoja na familia yake ili kumfahamu vizuri, kuchunguza maadili yake, na kuhakikisha anaelewa kuwa uanachama ni wa hiari na hautadhuru majukumu yake ya kifamilia au ya kazi.
- Kupigiwa Kura (Balloting): Wajumbe wote wa tawi husika (Lodge) hupiga kura ya siri. Mtu anakubaliwa kujiunga ikiwa tu kura zote zitakuwa za ndio bila pingamizi.
- Sherehe ya Kuingizwa (Initiation Ritual):Mwanachama mpya hupitia sherehe maalum za kimfano na viapo vinavyohusu kutunza siri za kikundi, kuheshimu sheria za nchi, na kujitolea kusaidia jamii. Kupitia sherehe hizi, anapanda ngazi tatu kuu:
- Entered Apprentice (Mwanafunzi wa Mwanzo)
- Fellowcraft (Fundi wa Kati)
- Master Mason (Fundi Mkuu)
Kwa exprience ya ndugu yangu ambaye yupo humo,nimeshuhudia wakifundishwa namna mbalimbali za ufanyaji kazi wenye bidii kubwa,kulobby opportunity haraka,kutokuwa waoga kukopa bank,jinsi ya kukopa fedha,jinsi ya kutumia kwa umakini mkubwa,jinsi ya kuepuka watu wasio na manufaa kwako,jinsi ya kuzingatia muda wako vizuri,Lakini kamwe hutojua utakufa lini na utakufaje
Tujiunge fastaKwa exprience ya ndugu yangu ambaye yupo humo,nimeshuhudia wakifundishwa namna mbalimbali za ufanyaji kazi wenye bidii kubwa,kulobby opportunity haraka,kutokuwa waoga kukopa bank,jinsi ya kukopa fedha,jinsi ya kutumia kwa umakini mkubwa,jinsi ya kuepuka watu wasio na manufaa kwako,jinsi ya kuzingatia muda wako vizuri,
Ni masomo haswa!sio mchezo,masomo yao mrengo wake mkubwa ni ustawi wa kiuchumi zaidi.
AsaMbona hizo ni kanuni au hatua za kujiunga na kikundi cha mkopo wa kausha damu?
Soon and very soon, we are going to see the Kingsoon
Hivi ndo hawa wa dawa ya msalaba ambao wanasifika usukumani Katoro na viunga vyake?Kwa exprience ya ndugu yangu ambaye yupo humo,nimeshuhudia wakifundishwa namna mbalimbali za ufanyaji kazi wenye bidii kubwa,kulobby opportunity haraka,kutokuwa waoga kukopa bank,jinsi ya kukopa fedha,jinsi ya kutumia kwa umakini mkubwa,jinsi ya kuepuka watu wasio na manufaa kwako,jinsi ya kuzingatia muda wako vizuri,
Ni masomo haswa!sio mchezo,masomo yao mrengo wake mkubwa ni ustawi wa kiuchumi zaidi.
Ukiwa kapuku huruhusiwi kuingia?Hiki kikundi kiko decentralized hakuna mkuu wake mmoja au viongozi wakuu, mfumo wake wa uongozi unakaribiana na wa Uislamu.
Ahahaaaaa...! Fiki Mwalafyale? Unyomwike?Som'ma Mwaisa. Ungasulwa.
Unakuwa mwanachama kwa kupendekezwa na mtu aliye tayari mwanachama.Ukiwa kapuku huruhusiwi kuingia?
Na suala la kutoka unaruhusiwa?
Mna wanachama wangapi all over the world?
FreemasonryUnakuwa mwanachama kwa kupendekezwa na mtu aliye tayari mwanachama.
Wako Freemasons zaidi ya milioni sita duniani kote.