Mchakato wa kisheria wa kubadili jina lako

pole sana mkuu,
ila kubadilsha jina kisa dini mimi kwangu naona haina faida! kwani kama ulkua unaitwa Mohamed John na sasa unaitwa Mohamed Hassan inakuongezea nini? Jina ni jna tu hata waweza itwa Dunia, Meza, Ngengemkeni, Bahari n.k na likawa jina lako!
Ushauri - Rudia jina lako la awali halafu acha udini




Asante kwa Ushauri wako,kuniita Mdini ni hisia zako tu kwa sababu Mimi sina dini ila ipo Imani na Mungu niliyemchagua!!
Na hata kama ningekuwa kuwa nimebadilisha jina kwa sababu ya Kuacha dini moja na kuingia nyingine bado huo si Udini unless tuwe tuna tafsiri tofautitofauti za neno Udini!!!
Think Big:peace:
 
Habari wana JF?

Mimi ni mzima wa afya tele namshukuru Mungu kwa pumzi na afya na kila ki2(all is well) hope mko pouwa, back 2 the topic! Mimi kwa jina naitwa Frank Shedrack na nimwanafunzi kwa sasa, wakuu naomba mwongozo na ushauri kuhusu kubadili jina, I declare kuwa silipendi jina langu (Frank) na niwe wazi kuwa mimi sio muumini wa majina ya kigeni, nawaombeni ushauri na mwongozo jinsi ya kubadili Jina ambalo pia lipo kwenye cheti cha kuzaliwa na taaluma.

Kiukweli katika hili sijui nianzie wapi, mwenye ufahamu kuhusu hili naomba anisaidie. I real hate my name so please help me.

ALL IS WELL....
 
....kijana Frank Shedrack unachukia jinalo la asili ya magharibi lakini bado umelowea kwenye mfumo wao wa maongezi.
...anza kuonyesha upendo wa dhati na dhahiri mathalani utamaduni wako kama mtanzania ukimakinikia zaidi kwenye kitojo chake kimojawapo kuntu ambacho ni LUGHA.
....kwa kufanya hivyo utawatoa ukungu na utusi wachangiaji kwa kupata michango anuai itakayo kuyauni kijana.
 
Last edited by a moderator:
Bora uache maana itakucost na usumbufu mwingi sana.....vipi hilo jina ulilinunua nini
 
mkuu kilahunja nimekuelewa ndugu,ila napenda kujifunza lugha mbalimbali ila kwa swala la jina na tamaduni zingine niwe mkweli napenda sana majina ya kiafrika.asnte kwa ushauri, nimependa uandishi wako haswa sentensi ya mwisho, bila shaka u mbora katika tunu yetu lugha ya kiswahli
 
Kuna kitu kinaitwa deed pol, tafuta wakili akutengezee then unasaini halafu unapeleka kwa registrar of document...baada ya hapo unatumia jina lako jipya
 
Kuna kitu kinaitwa deed pol, tafuta wakili akutengezee then unasaini halafu unapeleka kwa registrar of document...baada ya hapo unatumia jina lako jipya

itakuaje kwny vyeti vya shule,watabadilisha au mpaka uende kufatilia?
 
Ni kazi rahisi sana. Wala haina gharama ya kutisha.

Nenda kwa lawyer yoyote wa karibu yako.

Atakuchapia barua moja inaitwa "change of name deeds" au wakati mwingine inaitwa (deed pol) ambayo itaonyesha jina lako la zamani na jina lako jipya.

Na huwenda akakuuliza sababu ya kubadili jina. Na hio uliotoa ni sababu tosha. Hakikisha hio barua mnasaini wote, yaani wewe na huyo lawyer.

Gharama za hio barua isizidi shs 50,000/= Na lazima akupe original copy kama tano.

Uli moja iende kwenye passport na zingine utapeleka kazini kwako . Na zingine benki kama una account. Na zingine unaweka kwa ajili ya ushahidi.

Good luck.

 
mkuu- ntake radhi kwanza cjanuu jina wala kuiba vyeti vya watu is all about my first name,

your reflections and thoughts are something pathetic as all means of thinking beyond..

I think you have read my expression of my reflections concerning my first name(western) which

I declare that I like our native name(African name), now I can see your intrusion.

Kihiyo..... Ulinunua au umeiba vyeti vya watu.
 
Wadau,

Jina la ukoo mimi natumia jina la baba wa kambo, tangu shule mpaka sasa niko kwenye ajira. Makosa yalifanyika mwanzo kabisa tangu niko mdogo.

Ni hadithi ndefu sitoweza kueleza hapa, kwa sasa inawezekana kubadilisha? Na kuhusu nyaraka je?
 
Nenda ofisi za RITA wanabadili na nyaraka zako zote zinaweza badilishwa kwa jina jipya utakalochagua..
 
Yaani mkuu unashindwa hata kutafuta website by googling? Emu ishughurishe akili kidogo
Rita wanapatikana ofisi za wilaya kote Tanzania..
 
Wakala wa usajili wa vizazi na vifo RITA wanapatikana katika ofisi za mkuu wa wilaya kila halmashauri
Nenda utaelekezwa mambo ya kufanya
 
Asanteni!

Hilo neno 'rita' ndo lilinichanganya sikujua kama ndo vizaz na vifo. Kama ni hivyo nimeelewa.,..nitawatafuta rita.

Nashkuru sana wazee wangu!
 
Back
Top Bottom