TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,898
- 11,292
nadhani wenye chama watakuja kusema ila he has done a good job hasa kwa kutumia statistics na demography hata kama ni abstract tu!!! mie sina chama nasupport mwenye uwezo wa kuchanganua mambo so far naona dogo yuko juumkuu huyu mgombea wenu anaelimu gani, nimependa jinsi alivyojitahidi kujibu kwa hoja nzuri