Umenikumbusha mchaga mmoja aliokoka na alipoenda kanisani ilibidi mchungaji akambatize,ubatizo wa maji mengi.Mchungaji akasema Nambatiza Massawe pamoja na vitu vyote alivyonavyo ndani ya Maji ni Vyako Mungu Baba,jamaa kusikia hivyo,ikambidi achomoe pesa mfukoni na kunyoosha mkono juu ya maji.Aliamini kua maombi ya mchungaji yameepisha zile hela kwazi hazikua ch ndani ya maji