chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,787
nampenda, lakini nipo njia panda
njia panda kuelekea wapi mkuu
nampenda, lakini nipo njia panda
Naloga mtu. Afu hebu nrudishie ile avatar yangu. Naona kama nguvu za kiume zinapungua nisipoiona.We mtu ulipotelea wapi?
Naloga mtu. Afu hebu nrudishie ile avatar yangu. Naona kama nguvu za kiume zinapungua nisipoiona.
Basi tulia ntazirudisha wala usijali haina haja ya avatar mimi mwenyewe avatar tosha
1. Sina uhakika
2.hapana nataka awe mchumba kwanza
3.mahali ipo
4.nipo chuo mwaka wa pili
mazishi unafanya wapi mkuu tuje kuweka matanga?
Acha upumbavu ushauri ni asilimia 25% mawazo yako ni 75% so angalia wewe unawaza nini ? Kwa hiyo ukioa mwingine wakakushauri usimpe mimba utakuja juta kwa kuw a malezi ni magumu utaacha ili usije juta
sasa unasubiri nini kuowa?!!...chukua mzigo huo wewe achana na maneno ya watu mtaani!
Kwi kwi kwi kwi jamani Karib shemeji
subiri kwanza umalize chuo ndo utafanya maamuzi. upo mwaka wa pili chuo ushaanza kuwaza kuoa!!!! sikushauli umuache, lakin huwez kusema umepata mchumba saiv, maisha bado sana dogo.