Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
We mtu ulipotelea wapi?
Mi ntagharamia jeneza.
Mi ntagharamia jeneza.
nawe wampenda pia? tena sana?
mazishi unafanya wapi mkuu tuje kuweka matanga?
STOP stereotype.......
Sanda juu yangu na pilau la msiba
nianzie wapi!
kwa kumuoa huyo duu na kukemea generalizations........
krap krap krap....kwani una owa wewe au hao ndugu zako?....umependa wewe au hao ndugu zako?
basi owa hao ndugu zako.
hii ni seriousy mkuu... Mpaka saa hivi nipo njia panda nikivutwa huku na kule kama bendera
Wanataka mke wa kuchangia hao
nampenda sana lakini wengi wananipa wasiwasi kuhusu huyu
hapana si hivo mkuu... Wanataka nioe karibu na home eti ndo wanatabia njema
hapana si hivo mkuu... Wanataka nioe karibu na home eti ndo wanatabia njema