Ni aibu na ajabu sana kwa Mwanaume kweli aliyeoa kumshitaki MKE ktk suala hili:-
-Kama unampenda kweli mfundishe yale unayojua ktk mapenzi,hata wewe kuna usiyoyajua utakayoweza kujifunza kwake. You are not Perfect.
-Mshukuru Mungu umempata mwenye tabia hiyo kuliko ya uhuni.