Mchaga aumbuka!

Mchaga aumbuka!

avatar23356_4.gif

Jamani Rejao kwanza nilikumiss! Ulikuwa wapi? Naona tayari umeshafanyiwa na ile operation ya ngozi ukawekewa ile ya kitimoto. Umefanyia wapi? India? Ndiyo maana uliadimika!
lol...akutukanaye hakuchagulii tusi... unabahati hapa ni kwenye jukwaa la utani!
 
Aliyalamba..loh, jamaa amenikumbusha american pie, the wedding day. Stifler master alikula kimba la dog akizuga chocolate..we weee..!
 
Mchaga mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza vacuum dry cleaners.Siku moja mchaga akiwa na vacuum dry cleaner zake alipiga hodi nyumbani kwa baunsa mmoja.Alipofunguliwa mlango,akatoa salamu halafu bila kuremba akamwaga kinyesi cha mbwa kwenye carpet la manyoya halafu akasema;'aisee babaangu,hii vacuum dry cleaner isipoondoa hiki kinyesi chote,kitakachobaki nitakula mwenyewe'.Baunsa akajibu;'we sema tu una hamu ya kula mavi ya mbwa,umeme wenyewe umekatika'.

nilivyoona heading tu nikafungua maana nilijua wakulalamika na kabila lao hawatakosekana

Kumbaav...aisee chalii angu nitakutoa nduki...unanisinizia !huyo alikua ni mkude gangwe sio mangi Yesuuu

kha! Ila kwa nini mchaga?
 
hahahahaha dah! Huyo kazi alikuwa nayo,je hawakum Cameron? Nalog off
 
ha ha ha ha.....tehe tehe tehe....hii imekaa vizuri ile mbaya.

Mchaga mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza vacuum dry cleaners.Siku moja mchaga akiwa na vacuum dry cleaner zake alipiga hodi nyumbani kwa baunsa mmoja.Alipofunguliwa mlango,akatoa salamu halafu bila kuremba akamwaga kinyesi cha mbwa kwenye carpet la manyoya halafu akasema;'aisee babaangu,hii vacuum dry cleaner isipoondoa hiki kinyesi chote,kitakachobaki nitakula mwenyewe'.Baunsa akajibu;'we sema tu una hamu ya kula mavi ya mbwa,umeme wenyewe umekatika'.
 
Mwee! Km mm nduki. Hata hivo vi vacuum sijui naviacha apoapo. Km biashara naife!
 
Unafaham nduki ww!? Napenya hata km kuna upenyo wa tundu ya sindano!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom