Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Mchaga mmoja alikuwa akifanya biashara ya kuuza vacuum dry cleaners.Siku moja mchaga akiwa na vacuum dry cleaner zake alipiga hodi nyumbani kwa baunsa mmoja.Alipofunguliwa mlango,akatoa salamu halafu bila kuremba akamwaga kinyesi cha mbwa kwenye carpet la manyoya halafu akasema;'aisee babaangu,hii vacuum dry cleaner isipoondoa hiki kinyesi chote,kitakachobaki nitakula mwenyewe'.Baunsa akajibu;'we sema tu una hamu ya kula mavi ya mbwa,umeme wenyewe umekatika'.