KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Mch Veno Fernandes wa agapr TV alikopa TSHS 5bils Kutoka Tanzania Investment Bank na Sasa ameandaa Nyaraka za Uongo Kuonyesh Kwamba ameingia hasara katika Miradi yake na hivyo kutaka Benk imufikirie kuhusu kurejesha fedha hiyo.
Kutokana na Nyaraka alizowasilisilisha inaonyesha kuwa amepata hasara kubwa sana Kwenye miradi Yake!!!!!!!!!
Kutokana na Nyaraka alizowasilisilisha inaonyesha kuwa amepata hasara kubwa sana Kwenye miradi Yake!!!!!!!!!