East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Nasikia hata Mwenyekiti wa chama fulani cha siasa aliwahi kutumia mbinu za Fernandes, sijui na yeye kisha lipa?
Ngoja nikutajie Ni freeman Mbowe wa CHADEMA alikopa NSSF hela za mafao ya wafanyakazi sijui kesharejesha au naye bado ndio anavuta miguu.Wastaafu wakishindwa kulipwa kwa wakati utakuta CHADEMA wanajitia kuwakilisha hoja binafsi serikali ya CCM haitaki kulipa mafao haraka wakati hela zimeshikiliwa na akina MBOWE!! Hata CHADEMA mafisadi wapo.Wamejificha kwenye kofia ya mheshimiwa mwenyekiti.