GE2025 Mch. Stephen Ling'hwa: Hapo jirani na Kanisa letu wameuliwa watu 13, tukimsikia mtu anasema wameuliwa watu 10 nchi nzima tunamshangaa

GE2025 Mch. Stephen Ling'hwa: Hapo jirani na Kanisa letu wameuliwa watu 13, tukimsikia mtu anasema wameuliwa watu 10 nchi nzima tunamshangaa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
“TUNAPOSIKIA MTU AKISEMA WAMEKUFA WATU 10 TU NCHI NZIMA, TUNAMSHANGAA SISI KAMA WATUMISHI WA MUNGU”

"Hapo juu kanisani kwetu watu 13 wamekufa kwa mpigo, na maeneo mengine katika mji wetu, ilionekana miili imelala mabarabrani. Kwa hiyo tunaposikia mtu anasema wamekufa watu 10 nchi nzima tunamshangaa sisi kama watumishi wa Mungu"-Mchungaji Stephen Ling'hwa John, Msaidizi wa Askofu, KKKT, DMZV

 
“TUNAPOSIKIA MTU AKISEMA WAMEKUFA WATU 10 TU NCHI NZIMA, TUNAMSHANGAA SISI KAMA WATUMISHI WA MUNGU”

"Hapo juu kanisani kwetu watu 13 wamekufa kwa mpigo, na maeneo mengine katika mji wetu, ilionekana miili imelala mabarabrani. Kwa hiyo tunaposikia mtu anasema wamekufa watu 10 nchi nzima tunamshangaa sisi kama watumishi wa Mungu"-Mchungaji Stephen Ling'hwa John, Msaidizi wa Askofu, KKKT, DMZV


Ameongea VIZURI sana. Tatizo hawakufanya hivi seriously kabla ya uchaguzi. Viongozi wa dini wangekomaa haya yote yasingetokea.
 
Huyu mtumishi wa Mungu anashusha nondo za maana... Vilaza sijui kwa nini wanashindwa kuelewa hizi content
 
“TUNAPOSIKIA MTU AKISEMA WAMEKUFA WATU 10 TU NCHI NZIMA, TUNAMSHANGAA SISI KAMA WATUMISHI WA MUNGU”

"Hapo juu kanisani kwetu watu 13 wamekufa kwa mpigo, na maeneo mengine katika mji wetu, ilionekana miili imelala mabarabrani. Kwa hiyo tunaposikia mtu anasema wamekufa watu 10 nchi nzima tunamshangaa sisi kama watumishi wa Mungu"-Mchungaji Stephen Ling'hwa John, Msaidizi wa Askofu, KKKT, DMZV

Nondo tupu
 
Back
Top Bottom