Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.
Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
Last edited by a moderator: