Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,011
Vichwa kwa Pumba kama hiyo? Kama ni hivyo bora tu kusiwe na Upinzani hapa Tanzania.
The unseen is illustrated by the seen.
nawewe ina bidi uombewe kabisa lasivyo utachanganyikiwa
Vichwa kwa Pumba kama hiyo? Kama ni hivyo bora tu kusiwe na Upinzani hapa Tanzania.
The unseen is illustrated by the seen.
Hahahahahah....Naona mchungaji ameamua kujishusha kwa Level ya wana-CCM ili wamuelewe.
haya basi kichwa ni lusinde'mitusi' komba'mbakaji'mwigulu'mzizi' jk'dhaifu' wassira 'kusinzia' na yule mbunge wa dole kule uamsho
Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.
Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
Hili Bunge la mwaka huu la kipuuzi sana.
nawewe ina bidi uombewe kabisa lasivyo utachanganyikiwa
Mchungaji msigwa akiaongea kwa jazba kidogo amelaumu kitendo cha Nchemba kuwaambia CDM wana pepo mtaka vyeo na wanahitaji maombi, akiendelea kufafanua anasema hata huko kwenye theology wanasema asiyefanya kazi na asile sio aombewe.
Amemshangaa Nchemba kwamba ni mchumi wa aina gani anayesema CDM waombewe kwenye issues zinazohusu uchumi, amesema wachungaji huombea wazinzi wanaofumaniwa na wake za watu
da bunge la saiv ctaki kulimiss hata kidogo, very interesting
Anyway hayo ni maoni yake. Mi nafikiri Mwigulu anataka publicity ili apewe Uwaziri na JK. Tuone mwisho wake. Hizi ni magumashi za siasa za bongo.
Absolutely ukweli mtupu. Mpaka bunge la bajeti linaisha lazima mtu afe hapa.
Hiyo clip youtube umeipa jina gani?Mana natumia simu naitafuta siipati na siwezi kufungua link uloweka hapo directly kwa simu yangu
Mwigulu alidhani yeye ni mchumi peke yake,baada ya kujua aliyekuwa anamponda na yeye ni mchumi povu lilimtoka na kuanguka chini.
"mwingulu ata mimi ni mchumi nime fundishwa na walimu waliokufundisha,nilicho ongea ni sahihi kabisa"
msigwa : hawa wanao jiita wachumi na kufanya kazi BOT ndio walifikisha taifa lilipo kwa sasa.
"Hii serikali ya ccm ime pooza"
mnyika: jk ni dhaifu.
Tundulisu: this is silly budget.
Kafulila: je watu wakiokoka mapato yatatoka wapi?
chemba jamani siyo nchemba!