amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Wakuu. Mtikila hakuwa mgombea urais mwaka huu. Alichukua form na akachelewa kurudisha. Hivyo tume ikamuengua katika kinyang'anyiro. Uchaguzi upo palepale wakuu.. Tume haijafiwa na mgombea urais. Kwa hiyo mtanange uendelee kama kawaida