MC chichi hatunae tena

Rip mc chichi. Utabaki kwenye kumbukumbu zangu kwani ni wewe ulisheherekesha harusi yangu.
 
Bwana ametoa bwana ametwaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ntakukumbuka dada kwa kutoa dhabihu kanisan na zaka pale universal church hakika mungu akukuacha kukupigania........na hukusita kumjaribu
 
hakika sikutaka kufika ila sikuona umuhimu wa kuanza kumdhihaki marehemu kwa yaliofanywa na ndugu zake....
hakika hata mkiwa kumi bado tutamkumbuka...natumaini siku ikifika naso tutakuulizia....
Yote kheri ndugu!
 
Habari zilizotufikia hiv punde zinasema
yule mc mashuhuri shupavu dada yetu MC CHICHI
Amefariki dunia muda s mrefu uliopita...Mwenyezi mungu amrehemu sana
dada yangu sikuwah kumjua vizuri mpaka nilipomkuta akkiichambua vizuri
KEKI ikiwa na mafiga matatu..loh R.I.P MC CHICHI BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE TULIKUPENDA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI DADA YANGU..
SITOKUSAHAU MAISHAN MWANGU...NA WOTE ULIOWASHREHESHA....MWENYE TAARIFA ZAIDI WAPI NA LINI MAZISHI NAOMBA MZIDI KUTUPA TAARIFA KUPITIA HAPA
Mungu awape roho ya uvumilivu ndugu jamaa na marafiki


Mungu ailaze roho ya mrehemu mahala pema peponi.sitahacha kukukumbuka kwani ulikuwa mshereheshaji kwenye send ya mke wangu.
 
Nimehudhuria Mazishi makaburi ya Kinondoni, kitu ambacho nimekishudia ni kitendo cha Jenaza lake kubebwa na MC wa kike peke yao. Hii mara ya kwanza kwa wanawake kubeba jeneza!.

Halafu wakavalia sare maalum iliyomachi na rangi ya nguo aliyovikwa Marehemu iliyomachi na rangi ya Jeneza lake.

Hii ni mara ya kwanza nimeona mshikamano wa ajabu kati ya ma MC.

RIP MC CHICHI.

Ndugu unatoka sayari ipi?

Tafadhali sahihisha sema ni mara yako ya kwanza kushuhudia; na pili uongeze kuwa ni mara yako ya kwanza kuwashuhudia ma-MC wa kike au hata Ma_MC!

Tukio la kubeba jeneza ni mojawapo ya Heshima za mwisho kwa Binadamu wenzetu wanapofariki kwa hiyo tuskimbehi kuwa inawmsaidiaje Marehemu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom