Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Apr 15, 2012 #21 kweli ukiwa ndani ya ccm uko radhi kufanya chochote hata kama roho haitaki ili upate madaraka.
Endangered JF-Expert Member Sep 22, 2011 922 228 Apr 15, 2012 #22 afande juu kanuna kweli? Sijui donge? La! Nadhan anasikitika kwamba hawezi akapiga picha na combat kwa uhuru magamba wakaacha kumganda.
afande juu kanuna kweli? Sijui donge? La! Nadhan anasikitika kwamba hawezi akapiga picha na combat kwa uhuru magamba wakaacha kumganda.
Kobello JF-Expert Member Feb 20, 2011 8,637 7,919 Apr 15, 2012 #23 i pad3 said: mkitambi wa askari kwenye ngazi kule Click to expand... Siyo kitambi kile! lol ni uvivu wa kunya. Halafu umeona moka za willy? duh!!
i pad3 said: mkitambi wa askari kwenye ngazi kule Click to expand... Siyo kitambi kile! lol ni uvivu wa kunya. Halafu umeona moka za willy? duh!!
B Bulesi Platinum Member May 14, 2008 14,210 13,723 Apr 15, 2012 #24 Huyu baharia hawajui hawa magamba wa leo,wakiona anaongozana na hayo majembe ya chadema watamtosa we ngoja tu kwani jumanne sio mbali!!
Huyu baharia hawajui hawa magamba wa leo,wakiona anaongozana na hayo majembe ya chadema watamtosa we ngoja tu kwani jumanne sio mbali!!