What can be described as a humble beginning?
Kwa hiyo hizo sio hela? Au tuwatume TRA wakakague tupate ushahidi😅😅Asilimia kubwa ya watu wanaotamba kuwa wana pesa za online na Forex kwa hapa bongo huwa ni magumashi
Hajavunja Sheria na hela ni zake, swala la kwamba kazipata wapi namna gani yeye ndiye anajuaChini hapo kwenye picha ni bilionea nchini anayekuja kwa kasi sana Dr Ibra Chenza PhD anajihusisha na online marketing.
Ana resort yake kafungua huko Rufiji inaitwa Oviedo.
Sasa cheki hizo mbwembwe hata Elon Musk hana.
View attachment 3611905View attachment 3611906
Hivi hela ni sabuni ya roho au ya mwili ?Hata hivyo acha aenjoy jamaa katoka mbali. Had a humble beginning.
View attachment 3611910
View attachment 3611912
😅😅😅🤣It's samia anaongoza vichaa😆😆😆😅🤣😂