UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,523
- 1,363
Kweli kabisa mkuu
Mwenye bahati, habahatishi mkuuNimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
Ni chuki binafsi tu mkuu, waTz huwa tunawachukia watu walio fanikiwa ktk jambo fulaniJuzi vs Cape Verde ulimuonaje?cc Mleta uzi??Nijibu nkkueleze kitu
Mkuu naamini wewe utakuwa unajua soka. Namba nijuze thamani ya jezi namba 10 katika timu, namaanisha ni watu wa namna gani hupewa jezi hiyo? Pia unijuze kwanini Samatta mwanzo alikuwa anavaa jezi namba 77 pale Genk ila baadaye wakampa namba 10 ambayo anavaa hadi sasa.hakuna anayediss, shabiki LAZIMA atashabikia tu no matter what....kwa hiyo Usishangae wazungu wa RKC Gent kumshangilia Samata, wanampa motisha wa kufunga. Ukweli ni kwamba Samatta ana mpira wa kawaida tu, hii wala si kudiss.
MTU anayemponda Samatta ukimwambia yeye acheze utafikiri unaangalia futuhi. Wabongo tuna tabia ya kuponda na kuwa na negative mindset. Ndo maana Mimi hata biashara ya urafiki nilishaikataa muda sana. Naona unafiki tu.Hili ni tatizo la kuanza kuangalia mpira ukubwani, kiwango cha samatta kinatisha kaka na ninakuhakikishia muda si mrefu utasikia ameenda premier league
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mkuu naamini wewe utakuwa unajua soka. Namba nijuze thamani ya jezi namba 10 katika timu, namaanisha ni watu wa namna gani hupewa jezi hiyo? Pia unijuze kwanini Samatta mwanzo alikuwa anavaa jezi namba 77 pale Genk ila baadaye wakampa namba 10 ambayo anavaa hadi sasa.
Mwisho timu yake inaitwa KRC Genk, maana nahisi hata timu yake inakusumbua kidogo. Pia sio kila mchezaji anashangiliwa kwa kutungiwa nyimbo, wengine ni kwa kuwakuna mashabiki
Nyinyi ambao mna uwezo kumzidi Samatta mnaonaje mkaomba kujumuishwa kikosini tuone ufundi wenu?Dogo sikia, kuvaa jezi namba 10 haimaanishi chochote, anybody can wear it. Hata kama wewe unataka sema tu nikupe ya taifa Stars.
Tatizo la kushindwa kwetu sijui itakuwa ni viongozi bila kupepesa machoTatizo kubwa la TZ, wachezaji na makocha ni consistency ya ubora
Kocha na wachezaji wakimaintain ubora wa jana Afcon 2019 ni yetu na makubwa zaidi tutarajie
MTU anayemponda Samatta ukimwambia yeye acheze utafikiri unaangalia futuhi. Wabongo tuna tabia ya kuponda na kuwa na negative mindset. Ndo maana Mimi hata biashara ya urafiki nilishaikataa muda sana. Naona unafiki tu.
Roho mbaya,husda,chuki na wivu ndo vijana wengi wa Tanzania tunajua.Kwanza wakati anahangaika mwenyewe hakuna hata aliyemsaidia leo kawa maarufu basi kila mtu anajidai kumkosoa huo ndo unafiki mim siupendi.Na kuendelea hapana sasa majungu tu kila siku
Roho mbaya,husda,chuki na wivu ndo vijana wengi wa Tanzania tunajua.Kwanza wakati anahangaika mwenyewe hakuna hata aliyemsaidia leo kawa maarufu basi kila mtu anajidai kumkosoa huo ndo unafiki mim siupendi.
Wivu wa kijingaNdiyo hivyo, kwa majungu usiseme utasikia hafiki mbali huyo si wauswahilini , unajiuliza huyu Vipi. kumbe wivu
Halafu siku hizi wanaume sijui wavulana ndiyo wanamajungu hao mpaka kuzidi wanawakeWivu wa kijinga
Hakika hapa nimeamini kuna watu hawajui soka. Sasa anza kufuatilia jezi namba 10 huvaliwa na watu gani kwenye timuDogo sikia, kuvaa jezi namba 10 haimaanishi chochote, anybody can wear it. Hata kama wewe unataka sema tu nikupe ya taifa Stars.
Nyinyi ambao mna uwezo kumzidi Samatta mnaonaje mkaomba kujumuishwa kikosini tuone ufundi wenu?
Hakika hapa nimeamini kuna watu hawajui soka. Sasa anza kufuatilia jezi namba 10 huvaliwa na watu gani kwenye timu