mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,835
- 106,041
Wewe a
Mwache hiyo mtoto mtoto wa mbagala aishi atakavyo au ikiwa VP omba ajira ya wewe kuwa mshauri wake!
Akipiga mapicha wewe unapungukiwa nini au ktk mafanikio take wewe ulichangia yeye kupata mafanikioUZI wangu huu UNANIONYESHA vizuri sana watu ambao KICHWANI ZIPO na ambao HAMNAZO. Kwa mfano tu post yako imenionyesha kuwa dhahiri wewe ni Mr. HAMNAZO katika Bichwa lako. Kama ingekuwa ni hivyo basi hata hawa MARAIS wote duniani wasingekuwa na WASHAURI bali wangejifanyia tu wenyewe mambo yao! Hivi kule Vyuoni mlikuwa mnaenda kufanya nini kama hamjui hata kujenga HOJA yenye MASHIKO tena nyepesi tu kama hii?
Mwache hiyo mtoto mtoto wa mbagala aishi atakavyo au ikiwa VP omba ajira ya wewe kuwa mshauri wake!