FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,823
- 109,109
Ma Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
Mtanzania wa kwanza kuwa Mchezaji bora + Top score Caf Champions League.
Mtanzania wa kwanza Kucheza UEFA CL + Kuscore.