Ulichojenga mwenyewe kiko wapi? Miradi yote in mikopo ya MabeberuWakenya wanapenda mteremko sana. Wenyewe wameona mzungu kawajengea kila kitu wanataka kulinganisha na sisi tuliojenga wenyewe. Na ndio maana hata sishangai ninapoona mambo kama hayo hawana namna nyingine ya kujitangaza. Wao kuiba iba ndio hulka yao.
Nenda mahakaman kafungue kesi mahakama ya Africa mashariki,Watanzania habari zenu hii habari mm imenigusa sana, Captain wa timu ya Taifa #TaifaStars na mshambuliaji tegemeo wa Club ya Genk ya kule Belgium na mtoto wa Mbagala Dsm, kuripotiwa na vyombo vya nje kuwa ni Mkenya hii #Tff mnayo habari?
Na Je? Kwenye habari kama hizi tff mnachukua uamuzi gani au mnafanya nini?
Juzi timu ya Captain @Samagoal77 imechukua Ubingwa wa ligi ya Belgium Je? TFF mmetoa salamu za pongezi zozote kwa Club ya soka ya Genk? Kwa sababu tuna mahusiano nao kupitia Captain na mchezaji Mbwana Samatta.
WATANZANI TUAMKE KUNA SIKU TUTASIKIA Nchi ya Tanzania tumeikopa Kenya Mlima kilimanjaro na Mbuga za wanyama tumekopeshwa .View attachment 1101272
Hao tuwape Mariam birian na Amber ruty ndio wanawafaaNa sisi Lupita wetu Origi wetu wasituzingue ,sijui tumchukue tanasha na akothee wao tuwape mariam birian na miss sepetu?
Huenda jina la nchi yetu ni gum kuliko Kenya.Watanzania habari zenu hii habari mm imenigusa sana, Captain wa timu ya Taifa #TaifaStars na mshambuliaji tegemeo wa Club ya Genk ya kule Belgium na mtoto wa Mbagala Dsm, kuripotiwa na vyombo vya nje kuwa ni Mkenya hii #Tff mnayo habari?
Na Je? Kwenye habari kama hizi tff mnachukua uamuzi gani au mnafanya nini?
Juzi timu ya Captain @Samagoal77 imechukua Ubingwa wa ligi ya Belgium Je? TFF mmetoa salamu za pongezi zozote kwa Club ya soka ya Genk? Kwa sababu tuna mahusiano nao kupitia Captain na mchezaji Mbwana Samatta.
WATANZANI TUAMKE KUNA SIKU TUTASIKIA Nchi ya Tanzania tumeikopa Kenya Mlima kilimanjaro na Mbuga za wanyama tumekopeshwa .View attachment 1101272
Mkuu Lupita Nyong'o ni mjaluo umekosea kidogo na aweza kuwa na wajomba hapo Shirati, Utegi, uchila, Butuli nkMkuu usipate tabu Sammatta atakuwepo Misri ndipo Dunia yote watajua ila sie Lupita Nyog'o ni Mkurya wa Musoma Mara Tanzania.Ukipiga ya Jicho unapigwa ya Sikio.Samagoal ni Mtanzania na huo Mtandao ni wa Kenya.
Lupita c mkenya??Mkuu usipate tabu Sammatta atakuwepo Misri ndipo Dunia yote watajua ila sie Lupita Nyog'o ni Mkurya wa Musoma Mara Tanzania.Ukipiga ya Jicho unapigwa ya Sikio.Samagoal ni Mtanzania na huo Mtandao ni wa Kenya.
Kwanini na sisi tusiseme Wanyama ni raia wa tanzania[emoji3][emoji3]
Kafanye uchunguzi tena. Sawa hata kama ni mikopo ila miradi imesimamamiwa na watanzania tofauti na nyie miundombinu mingi mmeikuta.Ulichojenga mwenyewe kiko wapi? Miradi yote in mikopo ya Mabeberu
Effect yake huioni na nahisi bado hujawafahamu wakenya.Na Watanzania tumezidi kuwa na inferiority complex. Kitu kidogo tu tunalalamika kama Zahera
Kuna Jamaa yangu hapa kaoa Mkenya,muda si mrefu tutampeleka Mirembe maana huyu Mkikuyu anavyomuendesha utafikiri Bombadier.Effect yake huioni na nahisi bado hujawafahamu wakenya.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]we jamaa umefika mbali aiseeHivi Jiwe halioni hili hata kidogo!! hebu afanye kuomba vita ya kirafiki tuwaonyeshe adabu mdomo hausaidii.