Mbwa Vs Kuku biashara ipi inalipa?

MKWANO

JF-Expert Member
Jul 19, 2014
221
153
Kama kichwa Cha habari, nimefuga kuku (KROILER)kwa ajili ya biashara Ni mwaka Sasa lakini bado faida siioni na changamoto hasa magonjwa Ni kubwa sana.
Hi niliplan iwe project A na nilikuwa pia nawaza kuwa na project B. ninacho waza Ni kufuga mbwa kwa ajili ya biashara na nimefanikiwa kuwa na mbwa watatu( puppies) Aina ya RABLADOR. Nitajikita na RABLADOR pamoja na G.s ( nitanunua wawili) ili jumla wawe watano
-Je changamoto kubwa Ni Nini kwa mbwa?
- Soko lake likoje?
Mawazo na ushauri wenu mhimu Sana
IMG_20190518_093758.jpeg
image_search_1559159426430.jpeg
 
Kama kichwa Cha habari, nimefuga kuku (KROILER)kwa ajili ya biashara Ni mwaka Sasa lakini bado faida siioni na changamoto hasa magonjwa Ni kubwa sana.
Hi niliplan iwe project A na nilikuwa pia nawaza kuwa na project B. ninacho waza Ni kufuga mbwa kwa ajili ya biashara na nimefanikiwa kuwa na mbwa watatu( puppies) Aina ya RABLADOR. Nitajikita na RABLADOR pamoja na G.s ( nitanunua wawili) ili jumla wawe watano
-Je changamoto kubwa Ni Nini kwa mbwa?
- Soko lake likoje?
Mawazo na ushauri wenu mhimu SanaView attachment 1111685View attachment 1111686
Mbwa ni biashara inayolipa sana kuliko kuku
 
kivipi chief?
Nilimwelewa Mimi mbwa wanafaida na changamoto si nyingi Kama kwenye kuku,binafsi nimelazilisha mbwa pure RABLADOR na vingine Koko ( jike mojawapo lilikwa Koko) vya Koko nimeuza 20000 kwa Kila kimoja,na vilizaliwa 7, lakini Hawa pure nimeambiwa nisiuze chini ya 400000 kwa kimoja.
 
Nilimwelewa Mimi mbwa wanafaida na changamoto si nyingi Kama kwenye kuku,binafsi nimelazilisha mbwa pure RABLADOR na vingine Koko ( jike mojawapo lilikwa Koko) vya Koko nimeuza 20000 kwa Kila kimoja,na vilizaliwa 7, lakini Hawa pure nimeambiwa nisiuze chini ya 400000 kwa kimoja.
vipi kuhusu soko na gharama za matunzo?
 
vipi kuhusu soko na gharama za matunzo?
Kwangu galama za matunzo Ni chakula Mara kwa siku, mbwa watano kilo 2.5 za unga lishe,ila soko ndio sijajua kwa sababu nilikuwa nafuga kwa ajili ya ulinzi tu,nataka nami nipate mchanuo wa soko ili nijikite kwenye mbwa.
 
Kwangu galama za matunzo Ni chakula Mara kwa siku, mbwa watano kilo 2.5 za unga lishe,ila soko ndio sijajua kwa sababu nilikuwa nafuga kwa ajili ya ulinzi tu,nataka nami nipate mchanuo wa soko ili nijikite kwenye mbwa.
chakula, dawa na maradhi?
 
Kuku miyeyusho sana, hasa kufugia kuku kwenye banda...labda kuku wa kienyeji au chotara, uwe na eneo kubwa kama hekari moja hv, alaf uzungushie wigo au ukuta , na ww makazi yako yawe ndani ya hiyo ekari....kazi yako kuwafungulia tu asubuhi wanaenda kusaka kumbikumbi na kuwaongezea chakula, hapo ndo utaona faida ya kuku, kuku hasa wa vibandani wanapatwa na magonjwa sana kwa sababu ya msosi wa aina moja , wanakosa virutubisho ambavyo vinapatikana kwenye manyasi na wadudu..pia wanatumia gharama kubwa ya msosi.....
 
biashara zote nzuri , kulipa inategenmea umejiapngaje na uzalishaji na masoko!
Kuku ni pasua kichwa mkuu, japo sijajua kuhusu layers lakini Hawa chotara Ni shida Sana kuwamudu,kuwatibu na kuwalisha.
 
Kama kichwa Cha habari, nimefuga kuku (KROILER)kwa ajili ya biashara Ni mwaka Sasa lakini bado faida siioni na changamoto hasa magonjwa Ni kubwa sana.
Hi niliplan iwe project A na nilikuwa pia nawaza kuwa na project B. ninacho waza Ni kufuga mbwa kwa ajili ya biashara na nimefanikiwa kuwa na mbwa watatu( puppies) Aina ya RABLADOR. Nitajikita na RABLADOR pamoja na G.s ( nitanunua wawili) ili jumla wawe watano
-Je changamoto kubwa Ni Nini kwa mbwa?
- Soko lake likoje?
Mawazo na ushauri wenu mhimu SanaView attachment 1111685View attachment 1111686
Inategemea ulipo Mkuu, kama upo iringa mbwa wanalipa zaidi. Kama uko mikoa mingine basi Kuku wanalipa zaidi
 
Back
Top Bottom