hao ni baba na mamaKama ni pure GS bei iko vizuri
pole mkuu,kwakifupi hao ni simbaNimewatamani sana tatizo nipo mkoani
Kweli mkuupole mkuu,kwakifupi hao ni simba
na kwa anayewajua hao mbwa hiyo ni bei ya kutupa,mimi wakiwa na week nne nilichukua kwa 400,000 kwa kila mmojaKweli mkuu
Hii breed ni pure?kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na majambazi,kiboko yao ni hawa mbwa.Napatikana tabata Kinyerezi.serious buyers njoo PM.
sina mengi mkuu angalia picha ya wazazi hapo juuHii breed ni pure?
lazma uwazoeshe sehemu ya kujisaidia wasiwe kama koko,hawa mbwa wana uelewa na utii wa hali ya juuNatamani mbwa ila.... Sipendi wanavyojisaidia kila sehemu
Mkuu picha ya wazazi haina maana ni pure breedsina mengi mkuu angalia picha ya wazazi hapo juu
0626743811Namba yako ya simu please
Unajuaje kuwa anataka jisaidia ili umfundishe?lazma uwazoeshe sehemu ya kujisaidia wasiwe kama koko,hawa mbwa wana uelewa na utii wa hali ya juu
kama wewe ni mfugaji unaelewa mkuu!hao ni pure GS ndio mzao wa kwanza nimeona nifungue soko,Mkuu picha ya wazazi haina maana ni pure breed
Mbona bei yao ipo chini hivyo?
Sawa mkuu kila la kherikama wewe ni mfugaji unaelewa mkuu!hao ni pure GS ndio mzao wa kwanza nimeona nifungue soko,