Mbuzi wa mtaani

Pale mbagara mtongani ikitokea ajari mbuzi wanaenda kuangaria kilichotokea.walembuzi siombuzi sijui umenielewa 🤣🤣
 
Haina uhalisia kusema hawana mtu sidhani isipokuwa tu wamiliki ni vile wanajua hakuna wanyama wakali wa kuwawinda zaidi huku mjini adui mkuu ni binadamu, mmiliki anakuwa anajua wanapolala
Mara watu wanabomoa mazizi kuiba mbuzi inakuaje hao walio wazi hawaibiwi
 
Kaa ukijua sio nyama zote tunazonunua ni za halali.
Hao mbuzi ukipata nafasi ya kuiba iba nenda kauze bro
 
Kaa ukijua sio nyama zote tunazonunua ni za halali.
Hao mbuzi ukipata nafasi ya kuiba iba nenda kauze bro
Sasa unamuibia nani na hawana mwenyewe,we Sema tu unachukua..... tatizo vitisho vingi eti mbuzi wa dawa!!
 
Huwezi kuwakuta shinyanga au Bariadi hao, fisi wanapita nao hata kama wa ndagu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…