Sina ushuhuda ila kuna mtu aliniambia pale Mwananyamala Koma Koma kuna mlevi mmoja alichinja mbuzi wa kitaa baada ya kushikwa na njaa na kuwa na hamu ya nyama choma. Wanasema jamaa aliachishwa kazi kwani alikuwa anashindwa kwenda kazini kwa sababu kila akitoka kwenda kazini alikuwa anajinyea barabara nzima anafuatwa na nzi, akirudi nyumbani anakuwa katulia. Akitoka tu kwenda nje ya nyumba yake anaanza tena kujinyea hovyo, jamaa aliishi mle ndani mwa nyumba yake mwaka mzima bila kutoka nje.
Nimecheka sanaa hapa. Ujue ndio maana ulevi sio kitu kizuri sometimes bwana min -me 😂😂😂😂Tunashangaa Mbuzi wanapungua tu
Kumbe walevi ndio wanalishwa eti Mbuzi wa kafara 😂😂😂😂😂
oya kiongozi unataka kumtoa kama mbuzi wa kafaraKamata mmoja,chinja ule supu ili tupate mfano wa kuigwa kutoka kwako.
msongola polisi wapo wengi tu barabaraniYeyote anayejua walipo hao mbuzi anitumie location chap nikawe mfano manina
Haina uhalisia kusema hawana mtu sidhani isipokuwa tu wamiliki ni vile wanajua hakuna wanyama wakali wa kuwawinda zaidi huku mjini adui mkuu ni binadamu, mmiliki anakuwa anajua wanapolalaHivi hii ni serious au mnatania??
Kulala nje haina maana hawana mmiliki bali ni kwasababu wamezoea na hakuna wanyama wakali huku mjini, mmiliki anakuwa anajua walipoHao hawana mwenyewe ni mbuzi pori na wanajua hadi 🦓 hata moro mjini wapo sema wanakula takataka s wazuri kwa nyama ukila tu minyoo ya safra hukawii ndo wabongo wanadhani wamelogwa
Location kaka njoo mburahati barafu hapa uwanja wa shoka kuna mbuzi kibao hawana mtu wanalala hapo uwanjani mpaka asubui njoo kaka ujichukulie
Nenda Buguruni sheli wapo wengi tuu hata Mnazi mmoja wapo 😂Yeyote anayejua walipo hao mbuzi anitumie location chap nikawe mfano manina
Hao mbuzi hawanaga watuKulala nje haina maana hawana mmiliki bali ni kwasababu wamezoea na hakuna wanyama wakali huku mjini, mmiliki anakuwa anajua walipo
Umewahi kuona mbuzi huyo anatembea na kitoto kichanga barabarani? Lakini tunaona wale ambao tayari washakua kua na huwa wanaongezeka umewahi jiuliza huwa wanazaliana na kukua hapo hapo?
Ila kuhusu dawa/ kuwa na mazingaombwe mtu akila hilo sijui
Sijui watasema walevi uchawi unawapitia kushoto?Nimecheka sanaa hapa. Ujue ndio maana ulevi sio kitu kizuri sometimes bwana min -me 😂😂😂😂
Hao mbuzi nasikia ukitamka. Ccm wanakupigaHawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??
Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....
Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
Huku Kahama, inasemekana Kuna mtu alikuwa na mbuzi wa aina hio. Sasa wahuni waliwaiba wote! Na hawakuzulika!!Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??
Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....
Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
Kwakule Zanzibar mbuzi wapo mitaani wana zagaa lakini wanakua na Mwenyewe na siyo Mbuzi tu mpaka Ng'ombe wapo wanatembea barabarani na mitaani utawakuta wapo kundi moja. Na hisi hao mbuzi wa Dar watakua wa mtu na mtu mwenyewe alishahama akaamiia sehemu nyingine na Mbuzi wakapotelea mtaani, kuna jirani yetu yeye alikua ana funga bata wengi sana sasa alipojenga nyumba yake sehemu nyingine kwenye kuhamia eneo jipya akawaacha baadhi ya bata na hao bata wakawa wana lala juu ya mti na sisi hatukua tuna shughulika nao ifikia Asubuh wanakua mitaani wana jitafutia chakula ikifika jioni wanaruka juu ya miti na kulala mpaka Asubuh.Hiyo hoja ya survival mechanism nadhani ndio inaukweli... Hao mbuzi magomeni, ukishuka hadi mwananyamala bondeni kule hadi kuibukia mkwajuni wamejaa sana na ukiwauliza watu wanatoa stori hizo hizo za mbuzi wa albadili na blah blah kama hizo😅😅.
Lakini swali ambalo huwa najiuliza ni je, wale wote ni mbuzi wa mtu mmoja? Coz wako very scattered.
Wanaowaogopa vibaya mnoooo wanawapisha na njia wakiwaonaMateja wanasemaje nao wanaogopa?
Sina ushuhuda ila kuna mtu aliniambia pale Mwananyamala Koma Koma kuna mlevi mmoja alichinja mbuzi wa kitaa baada ya kushikwa na njaa na kuwa na hamu ya nyama choma. Wanasema jamaa aliachishwa kazi kwani alikuwa anashindwa kwenda kazini kwa sababu kila akitoka kwenda kazini alikuwa anajinyea barabara nzima anafuatwa na nzi, akirudi nyumbani anakuwa katulia. Akitoka tu kwenda nje ya nyumba yake anaanza tena kujinyea hovyo, jamaa aliishi mle ndani mwa nyumba yake mwaka mzima bila kutoka nje.
Jeuri haoooo,hawaogopi hata magari mnapishana nao tu barabarani,uzwahilini wanapora mpaka watoto chapatiYeyote anayejua walipo hao mbuzi anitumie location chap nikawe mfano manina
Jeuri haoooo,hawaogopi hata magari mnapishana nao tu barabarani,uzwahilini wanapora mpaka watoto chapati
Kwahiyo kwa lugha nyingine ni kama wamemshinda hivi? But wale kuwa mbuzi wa mtu mmoja ni ngumu ila labda watu wameamua wawe na aina hiyo ya ufugaji.Kwakule Zanzibar mbuzi wapo mitaani wana zagaa lakini wanakua na Mwenyewe na siyo Mbuzi tu mpaka Ng'ombe wapo wanatembea barabarani na mitaani utawakuta wapo kundi moja. Na hisi hao mbuzi wa Dar watakua wa mtu na mtu mwenyewe alishahama akaamiia sehemu nyingine na Mbuzi wakapotelea mtaani, kuna jirani yetu yeye alikua ana funga bata wengi sana sasa alipojenga nyumba yake sehemu nyingine kwenye kuhamia eneo jipya akawaacha baadhi ya bata na hao bata wakawa wana lala juu ya mti na sisi hatukua tuna shughulika nao ifikia Asubuh wanakua mitaani wana jitafutia chakula ikifika jioni wanaruka juu ya miti na kulala mpaka Asubuh.