Mbuzi wa maziwa wanauzwa

Mbuzi wa maziwa wanauzwa

Mkulima wa Kuku

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
1,270
Reaction score
536
20150930_101423.jpg mbuzi 1.jpg mbuzi 5.jpg mbuzi 7.jpg mbuzi 8.jpg

mbuzi 10.jpg

Mbuzi hao wanaoonekana ni wa maziwa isipokuwa huyo anayenyonyesha yeye amekuwa crossed ni uzao wake wa 1 baba wa mtoto ni Dume picha ya 2 toka kushoto juu ni pure Norwegian ni mkubwa sana anatimiza miaka miwili Novemba. Picha ya 4 ni dume ambalo lina mwaka 1 na nusu na dume mdogo picha ya 5 baba yake bado ni yuleyule.
Jike la chini ni pure Norwegian nilimnunua SUA mwaka huu akiwa na mimba ya 1 ameshazaa mara 1 tu na amepandishwa miezi 2 iliyopita. Sababu za kuwauza wote nataka kubadili mradi. Niko Kongowe ya Mbagala Dar. Unaruhusiwa kuja kuwaona kwa miadi maalum.
Serious buyers only piga 0762 41 31 32. Usitume sms tafadhali
 

Attachments

  • mbuzi 2.jpg
    mbuzi 2.jpg
    18.6 KB · Views: 126
  • mbuzi 4.jpg
    mbuzi 4.jpg
    19.4 KB · Views: 115
sorry mdau mbuzi wa maziwa km hao hutoa lita ngap???
 
Back
Top Bottom