Mbuzi wa maskini hazai

Mbuzi wa maskini hazai

KIEMBE

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
109
Reaction score
11
Muda mwingine hua natamani nijiue tu nkapumze ila nakumbuka kufanya hivyo ni dhambi kubwa na mwishowe ni motoni.

Mwaka 2010 nilishndwa kuendelea na advance kwa matatizo ya kifedha.

Mwaka huohuo nkaomba JWTZ kwakua sikua na mtu nilitolewa.

Mwaka 2011 nkafanya interview ya polisi nkafanya vizuri kila sifa ninayo ila pia wakantoa.

Mwaka huohuo nkajiunga chuo cha kilimo kusomea cheti nikamaliza 2013 mwezi wa 7 nikakaa nyumbani kusubiri ajira mara JKT wakatangaza nafasi.Nimeomba ila kwenye usaili wa mgambo wilaya naambiwa natakiwa niwe nimezaliwa 1991 sasa si wanataka miaka23 mimi sijatimza miaka 24 kamili.

Nimezaliwa 10/10/1990, mpaka mwezi wa kumi ndio nitatimiza miaka 24 ila wamenitoa, sasa nfanyaje jamani?
 
Pole mdogo wangu, kitu cha msingi ni kutokata tamaa kuna siku inakuja tutafanikiwa tu.Nami ni mhanga sina kazi kila nnapo apply. kimya.Lets never give up!!
 
"I've failed over and over and over again in my life and that is why I succeed." - Michael Jordan
Abraham Lincoln Didn't Quit

  • 1816 His family was forced out of their home. He had to work to support them.
  • 1818 His mother died.
  • 1831 Failed in business.
  • 1832 Ran for state legislature - lost.
  • l832 Also lost his job - wanted to go to law school but couldn't get in.
  • 1833 Borrowed some money from a friend to begin a business and by the end of the year he was bankrupt. He spent the next 17 years of his life paying off this debt.
  • 1834 Ran for state legislature again - won.
  • 1835 Was engaged to be married, sweetheart died and his heart was broken.
  • 1836 Had a total nervous breakdown and was in bed for six months.
  • 1838 Sought to become speaker of the state legislature - defeated.
  • 1840 Sought to become elector - defeated.
  • 1843 Ran for Congress - lost.
  • 1846 Ran for Congress again - this time he won - went to Washington and did a good job.
  • 1848 Ran for re-election to Congress - lost.
  • 1849 Sought the job of land officer in his home state - rejected.
  • 1854 Ran for Senate of the United States - lost.
  • 1856 Sought the Vice-Presidential nomination at his party's national convention - get less than 100 votes.
  • 1858 Ran for U.S. Senate again - again he lost.
  • 1860 Elected president of the United States.
 
Muda mwingine hua natamani nijiue tu nkapumze ila nakumbukumbuka kufanya hvyo ni dhambi kubwa na mwshowe ni motoni.
Mwaka 2010 nlishndwa kuendelea na advance kwa matatzo ya kifedha.
Mwaka huohuo nkaomba JWTZ kwakua ckua namtu nltolewa
Mwaka 2011 nkafanya intavyu ya pols nkafanya vzur kla cfa ninayo ila pia wakantoa...
Mwaka huohuo nkajiunga nachuo cha klmo kusomea chet nkamalza 2013 mwez wa7 nkakaa hom kusubr ajra mara JKT wakatangaza nafas
Nimeomba ila kwenye usail wa mgambo wlaya naambiwa natakiwa niwe nimezaliwa 1991 sasa cwanataka miaka23 mm cjatmza miaka 24 kaml
namm nmezaliwa 10/10/1990 mpaka mwez wakum ndo natmza miaka 24 ila wamentoa sasa nfanyaje jaman??

Una tatizo ambalo hujaweza kuligundua...Mfano angalia uandishi wako tu uajieleza..sasa kabla hujapanga tena kujiua kaa chini na ujifanyie tathmini!
 
Pole mdogo wangu, kitu cha msingi ni kutokata tamaa kuna siku inakuja tutafanikiwa tu.Nami ni mhanga sina kazi kila nnapo apply. kimya.Lets never give up!!

Daaaa! kwel kaka cc maskn n shda tupu kla tunapojtahd kukimbia
mbio zetu huishia sakafuni.....Naahd ctokata tamaa hata chembe.
 
"I've failed over and over and over again in my life and that is why I succeed." - Michael Jordan
Abraham Lincoln Didn't Quit

  • 1816 His family was forced out of their home. He had to work to support them.
  • 1818 His mother died.
  • 1831 Failed in business.
  • 1832 Ran for state legislature - lost.
  • l832 Also lost his job - wanted to go to law school but couldn't get in.
  • 1833 Borrowed some money from a friend to begin a business and by the end of the year he was bankrupt. He spent the next 17 years of his life paying off this debt.
  • 1834 Ran for state legislature again - won.
  • 1835 Was engaged to be married, sweetheart died and his heart was broken.
  • 1836 Had a total nervous breakdown and was in bed for six months.
  • 1838 Sought to become speaker of the state legislature - defeated.
  • 1840 Sought to become elector - defeated.
  • 1843 Ran for Congress - lost.
  • 1846 Ran for Congress again - this time he won - went to Washington and did a good job.
  • 1848 Ran for re-election to Congress - lost.
  • 1849 Sought the job of land officer in his home state - rejected.
  • 1854 Ran for Senate of the United States - lost.
  • 1856 Sought the Vice-Presidential nomination at his party's national convention - get less than 100 votes.
  • 1858 Ran for U.S. Senate again - again he lost.
  • 1860 Elected president of the United States.

Thax kaka kwa kunfariji.
 
Usikate tamaa mitihani mi3 tu unataka kujiua?
±±±±
"Fabulous"-Jahem
Young cat got back did a little dig,
kind of hearty but he tough, dorag and timbs,
kind of hard to get a job,
back out on the block charge that to the game
Young girl she grew up in a rush had it bad, no
doubt,
she don't know who to trust every man
she ever loved only wanna touch charge that to
the game
[Bridge:]
but its all gravy, baby
shots get popped, the cops shut down the party
jeans sag low,
blow smoke out of dutches,
we got love for ya'll but ya'll don't know us
[Chorus:]
Now we swerve in the suburban and switching
lanes
spend up all our dough on them chrome and
thangs,
name our kids some funny names,
Don't hate on us were fabulous
We pay cellies for local calls
hating kinds of demons up at the malls rocking
corn rolls and twist,
thats how we roll don't hate on us were fabulous
[Verse 2:]
They met he said how she was a dime,
so naive that she believed every single lie,
17 first time slipped up bout to have a child
charge that to the game
was just us and mom, single family home,
she did the best she could, did it all alone,
met a man but he won't raise a child that's not
his own
Oh, no,
Oh, no, no
[Bridge:]
but its all gravy, baby
shots get popped, the cops shut down the party
jeans sag low,
blow smoke out of dutches, we got
love for ya'll but ya'll don't know us
[Chorus:]
Now we swerve in the suburban and switching
lanes
spend up all our dough on them chrome and
thangs,
name our kids some funny names,
Don't hate on us were fabulous
We pay cellies for local calls
hating kinds of demons up at the malls rocking
corn rolls and twist,
thats how we roll don't hate on us were fabulous
With all that we've got
and no matter whatever together what weather
the storm
and meanwhile with all we got it might get rough
but it's alright
'cause U-N-I-T-Y is all we need to get our R-E-S-P-
E-C-T
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
and never G-I-V-E U-P
and keep your H-E-A-D U-P
 
Una tatizo ambalo hujaweza kuligundua...Mfano angalia uandishi wako tu uajieleza..sasa kabla hujapanga tena kujiua kaa chini na ujianyie tathmini!
boriti boriti boriti
 
Muda mwingine hua natamani nijiue tu nkapumze ila nakumbukumbuka kufanya hvyo ni dhambi kubwa na mwshowe ni motoni.
Mwaka 2010 nlishndwa kuendelea na advance kwa matatzo ya kifedha.
Mwaka huohuo nkaomba JWTZ kwakua ckua namtu nltolewa
Mwaka 2011 nkafanya intavyu ya pols nkafanya vzur kla cfa ninayo ila pia wakantoa...
Mwaka huohuo nkajiunga nachuo cha klmo kusomea chet nkamalza 2013 mwez wa7 nkakaa hom kusubr ajra mara JKT wakatangaza nafas
Nimeomba ila kwenye usail wa mgambo wlaya naambiwa natakiwa niwe nimezaliwa 1991 sasa cwanataka miaka23 mm cjatmza miaka 24 kaml
namm nmezaliwa 10/10/1990 mpaka mwez wakum ndo natmza miaka 24 ila wamentoa sasa nfanyaje jaman??

Hapo kwenye nyekundu , iyo koz ulosomea hauwez kujiajir ama mkaunda kikundi mkanunua shamba na ndo umesomea kilimo huoni kama bora kujaribu kuliko kusubiri ajira ambazo maelfu wanagombania ka bahati nasibu ya kupata bodaboda za voda!!?
 
Hapo kwenye nyekundu , iyo koz ulosomea hauwez kujiajir ama mkaunda kikundi mkanunua shamba na ndo umesomea kilimo

Umechoandka nn sahh kabxa ila tambua bahat nasbu il ucheze unahtaj fedha xaxa fedha natoa wap?
Nakama fedha ninayo kwann ncheze bahat nasbu c bora nijiingze moja kwa moja tu ktk klmo ukiona hvyo MTAJI CNA
 
Mkuu ni vizuri pia ukabadili mtazamo na fikra zako katika ajira.
Naona umebezi kwenye majeshi tuu!
Posts zako nyingi unaulizia nafasi za kwenye majeshi tuu. kuwa na plan B ikiwezekana na C pia. Badilika mkuu game imekuwa ngumu sana.
Jamani wadau hivi nafasi za magereza zitatoka lini????????/

Daaa! hata mimi nazitaka bwana mwenye taarfa atujuze
maana mi nafatlia xana lakn cjafankiwa lakn nataka
niandke barua ya maombi kwenda kwa MEJA JENERALI
RAPHAEL MUHUGA ambae ni Mkuu wa Jkt

Daa! kwel Tanzania noma toka july natembelea mtandao wa
wa pols uhamiaj cjawah kukuta tangazo la kaz wameweka bayana
ila chakushangaza leo nakuta tangazo lawaliochaguliwa
sasa najiulza wanatangaza wap nafas hz daaa! matumain yangu
juu yakaz yanaddmia day after day jaman magereza mktoa naomba
mtangaze kama polc bla hvyo cc wanyonge tutaozea nyumban
 
Umechoandka nn sahh kabxa ila tambua bahat nasbu il ucheze unahtaj fedha xaxa fedha natoa wap?
Nakama fedha ninayo kwann ncheze bahat nasbu c bora nijiingze moja kwa moja tu ktk klmo ukiona hvyo MTAJI CNA

Cjaseme ucheze bahati nasibu!! Nimesema Ajira nyingi zimekuwa ni Bahati nasibu , nikaongeza c lazima uwe peke ako mfano unaweza kuwatafuta vijana uliomaliza nao certificate , mkaandika project proposal ya kilimo( nategemea nyie ni wataalam) hata ukija kutangaza humu kwamba una project proposal huwez kukosa sponsors kama mradi wenyewe utakuwa unaonyesha kwamba unalipa!!
 
Ebana hata mie inshantokea mwaka Jana mwezi wa tatu mwanzoni. Nilifanya interview na company fulani maarufu round mbili za oral interview na ajira ilitakiwa nipewe mkataba lakini mpaka leo sijui ilipotelea wapi pamoja na follow up nilizofanya nikaambulia danadana.

Ikawa ndio kama nuksi, mpaka wa leo sijaitwa kwenye interview yoyote.

Ajira ni ngumu, yasikie tu kwa mwenzako
 
mkuu ni vizuri pia ukabadili mtazamo na fikra zako katika ajira.
Naona umebezi kwenye majeshi tuu!
Posts zako nyingi unaulizia nafasi za kwenye majeshi tuu. Kuwa na plan b ikiwezekana na c pia. Badilika mkuu game imekuwa ngumu sana.

kaka nksema nkwambie ofc nlzoomba mbal na majesh utachoka mwsho wake hua naambulia patupu
 
Cjaseme ucheze bahati nasibu!! Nimesema Ajira nyingi zimekuwa ni Bahati nasibu , nikaongeza c lazima uwe peke ako mfano unaweza kuwatafuta vijana uliomaliza nao certificate , mkaandika project proposal ya kilimo( nategemea nyie ni wataalam) hata ukija kutangaza humu kwamba una project proposal huwez kukosa sponsors kama mradi wenyewe utakuwa unaonyesha kwamba unalipa!!
Mkuu unachukulia mambo kirahisi rahisi sana!
 
ebana hata mie inshantokea mwaka jana mwezi wa tatu mwanzoni. Nilifanya interview na company fulani maarufu round mbili za oral interview na ajira ilitakiwa nipewe mkataba lakini mpaka leo sijui ilipotelea wapi pamoja na follow up nilizofanya nikaambulia danadana.

Ikawa ndio kama nuksi, mpaka wa leo sijaitwa kwenye interview yoyote.

Ajira ni ngumu, yasikie tu kwa mwenzako

kweli unajua kama kama hayajakufka utaona kama mwenzako anaandka mambo yakijinga ila we acha tu
siri ya mtungi aijuae kata
 
Mkuu unachukulia mambo kirahisi rahisi sana!

Mie nimejaribu na nimeweza, nilimaliza chuo nilishindwa kupata kaz za serikalini , nimezunguka sana na bahasha hadi TANAPA ,Arusha nilifika lakini wapi!! Ila nikajoin na class mate zangu tunapiga kaz wenyewe na cku zinaenda , Tatizo hatuthubutu kujaribu!!
 
kweli unajua kama kama hayajakufka utaona kama mwenzako anaandka mambo yakijinga ila we acha tu
siri ya mtungi aijuae kata

Well said man, nina classmate na friend wangu mmoja naogopa hata kumpigia simu sometimes kwa sababu ya nyodo na majigambo yake.

Yeye kapata ajira mapema na inamlipa fresh tatizo ni dharau na kukatisha tamaa wenzake na kujiona yeye ndo yeye hakuna mwingine zaidi yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom