Wanangu ujinga na uroho mwingine ni balaa. Watanzania wamegeuzwa mbuzi au kuku kuletewa kila upuuzi nao wakauamini. Laiti Shigongo angetwambia kama huyo mbuzi wake ashambaka mkewe kidogo tungemwelewa. Bila kufanya hivyo ni ushahidi kuwa Shingongo anawadharau wateja wake kwa kuwalisha uchafu na uongo. Ajabu eti Shigongo ni mlokole! Hata hivyo nani atashangaa iwapo akina Rwakatare, Gamanywa, Lusekelo, Kakobe, Gwajima na matepeli wengine wana wafuasi?